250-300K bajeti simu aina gani?.

250-300K bajeti simu aina gani?.

Joined
Apr 16, 2018
Posts
28
Reaction score
116
Ijumaa Kareem Viongozi,

Technologia imekuwa kubwa nahofia kununua famba(fake). Kwa wataalam,simu gani ina afadhali kidogo kwa hiyo pesa? Kuna zingine ukitoka tu nje ya mji net work inakata,ikae na chaji ata kama ni siku 1,ubora wa picha pia.
Napendelea Sumsang ila sina uelewa zaidi,ipi sio fake,ipi ni reasonable kwa hiyo bei,kama kuna brand nyingine pia i can change mtazamo wangu
Nipo mbulu-Manyara.

Thank you in advance for your time and advice.
 
Go for samsung A10 bei ina range 280k -320k, simu nzuri sana.
 
Nauza TECNO camon CX
ram 3gb
storage 16gb
camera 16mp
adroid 8.1.00
Price 240,000
simu ni mtumba kama mpya kabisa na unapewa guarantee ya mwaka mzima
mawasiliano zaidi 0658644485
 
Back
Top Bottom