Tunashukuru kwa ushauri na ushirikiano wanaotupa! Shukrani za kipekee kwa Ruge.napenda kujua mchango wa clouds media kwenye haya maafa maana naona wamegoma kabisa kusitisha fiesta yao
Jifinze kuangalia upande wa pili wa fikra zako (private msg) maana yake upewe maelezo ya kina usiporidhika unaacha. Usiwaze kuibiwa tu kila mara kumbuka aliwazalo mjinga ndilo limtokealo.Fursa watu wamekamata fasta!!!
Hii yote ni kutokana na ukimya wa bigdady.
Kama hii issue yako unafanya na huyo tapeli Ruge basi hapa kuna harufu ya kuibiwa.Tunashukuru kwa ushauri na ushirikiano wanaotupa! Shukrani za kipekee kwa Ruge.
Lakini pia clouds wamekuwa na mtoa taarifa wao mubashara toka bkb.na nimeona 360wakilizungumzia...mengineyo sijui sbbu mimi sio msemaji wao..
Kuhusu fiesta nadhani isingekuwa rahisi kuahirisha.
Usiwe mkali, hii ni fursa na ukimya wa bigdady umechangia kondoo kujichunga wenyewe.Jifinze kuangalia upande wa pili wa fikra zako (private msg) maana yake upewe maelezo ya kina usiporidhika unaacha. Usiwaze kuibiwa tu kila mara kumbuka aliwazalo mjinga ndilo limtokealo.
Serikali zinazojitambua duniani hili tatizo wangekuwa washali-handle saahizi wanapanga kuwajengea makazi yao hao waathirika na usingekuta ujinga huu kwamba watokee watu waprint t-shirts ziuzwe ndo wahanga wasaidiwe.Fursa watu wamekamata fasta!!!
Hii yote ni kutokana na ukimya wa bigdady.
Sio inaanza na wewe ikianza na wewe ni kwamba unatoa kwa huruma tu isizoeleke kwamba tatizo likitokea basi waziri fulani au sijui mkuu wa mkoa aanze kuhimiza watu wachange kusaidia,serikali ndiyo ya kwanza kuwahudumia watu walioichagua na nchi hii watu tunalipa kodi,twakatwa pesa kibao maendeleo sio kujenga barabara tu hata kuwajibika ktk majanga nako ni maendeleo,kama pesa hakuna wapunguze allowances waazolipana bungeni na vikao vya kawaida ili kuwe na fungu maalum la maafa raia wenyewe tuna hali mbaya.Duhh,nchi hii wote tukiwa na mawazo kama yako na fikra kama zako itakuwaje fikir inaanza na wewe! Kama wewe unawaza hayo...
Kama unataka kujitangaza kuwa umewasaidia wana bukoba NUNUA T-shirt, otherwise serikali haihitaji michango yenu nyinyi masikini, yenyewe inauswahiba na matajiri, ujue na hawa matajiri ndio waliambiwa hawakuchangia chochote kwenye kampeni za uchaguzi na inaonekana ni kweli maana ingekuwa uongo walipoalikwa kuchangia waathirika wa tetemeko la kagera wasingeenda!!!!Duhh,nchi hii wote tukiwa na mawazo kama yako na fikra kama zako itakuwaje fikir inaanza na wewe! Kama wewe unawaza hayo...
Kama hii issue yako unafanya na huyo tapeli Ruge basi hapa kuna harufu ya kuibiwa.
Ok,! Basi sawa.Kama unataka kujitangaza kuwa umewasaidia wana bukoba NUNUA T-shirt, otherwise serikali haihitaji michango yenu nyinyi masikini, yenyewe inauswahiba na matajiri, ujue na hawa matajiri ndio waliambiwa hawakuchangia chochote kwenye kampeni za uchaguzi na inaonekana ni kweli maana ingekuwa uongo walipoalikwa kuchangia waathirika wa tetemeko la kagera wasingeenda!!!!
Usilaumu watu hapa. Wewe umeweka meseji/tangazo ambalo halieleweki. Hakuna bei ya hizo tisheti. Hakuna mchakato wa mapato yatakayowafikia wahanga na habari nyingine muhimu. Yaani ni kama vile limeandikwa na mtoto. Yaani kupata taarifa muhimu watu inabidi waje PM? Watanzania wa sasa ni lazima wahoji mambo haya ili wawe na uhakika. Sasa wewe badala yake umeanza kutoa povu. Yaani unataka tu wafakamie hizo tisheti hata bila kujua mchakato wenyewe ukoje? Kuna ugumu gani wa kuweka tangazo linalojitosheleza hapa hapa laivu badala ya private message? Something is wrong somewhere!Jifinze kuangalia upande wa pili wa fikra zako (private msg) maana yake upewe maelezo ya kina usiporidhika unaacha. Usiwaze kuibiwa tu kila mara kumbuka aliwazalo mjinga ndilo limtokealo.