GRANT SUMAYE
Member
- Dec 1, 2010
- 8
- 0
Alikuwa anaitwa Chapel (sina hakika na spelling lakini pronounciation yake ni Shapel)
you are right Alikua anaitwa Ryn Shapl ( sina hakika na sp pia)
Alikuwa anaitwa Chapel (sina hakika na spelling lakini pronounciation yake ni Shapel)
One of the best series kwakweli....ila tuache utani, Chloe O'brian ni noma!!!! kile kichwa bwana....
nimeangali 3,5,6,7 & 8 nyingine bado sijabahatika kuziona. Nalog off
Hakuna kitu kama hiki kwenya 24, Labda ya KICHINA hiyo,
Kuna shop moja ya DVD za ukweli pale Jamhuri Street Dar-es-salaam. Bei cheee halafu quality ya juu kama mnazi utapata X-files, 24 na zingine nyingi
Hakuna kitu kama hiki kwenya 24, Labda ya KICHINA hiyo,
HAbib maruani, ramon Salazar!
Nadhani 24 mwenyewe anaongoza, akifuatiwa na 23, halafu ndo kina 22, 21, 20, na hao wengine wanafuatia.
Sijawahi iona, hivi zipo seasons ngapi ili nianze mpango wa kuitafuta na kuiona?
mi nilipenda sana pale jack anaenda kumchomoa charles logan kwenye gari yule mzee alivyokuwa anapiga kelele hata kabla jack hajamfiki huyu mzee mwoga ile mbaya
na hii nyingine ina season mbili tu inaitwa Xiii nayo tamu