2030 nitachukua fomu kugombeza urais

2030 nitachukua fomu kugombeza urais

Itakuwa ni swala la kisheria,kuchukua urithi wangu,kukimiliki Chama.
Last time pia nilitaka kwenda kuchukua fomu, lakini Makongoro alinikataza.
But this time there is no turning back.
Jaya jaya rum rum.
Bora mchukue chama chenu maana kimevamiwa na wa kuja
 
Kachukue aiseee, nawee ufaidi urithi was baba yako, sio kina mwamfula kutwa kujilimbikizia mali za nchi, utadhani zao pekee yao.
Khaaah
 
Back
Top Bottom