Katika hatua zote Ronaldo amecheza na SpainKwanza penaldo alikutana na Spain hatua gani?
Ballon d'Or zishapoteza credibility, ni tuzo zinazotolewa kwa connection.Ukinionyesha mchezaji mwenye Ballon d'or zaidi ya 5, assists zaidi ya 400 na golden balls za kombe la dunia 2 nakuonyesha mchezaji mwenye hayo mabao 976
Daktari naye mambo magumu naye pia anahaha kutafuta mshauri amuokoePole sana,
Maumivu yakizidi,pata ushauri wa Dakitari.
GOAT ni yule ambaye hata mechi ikiisha timu yake imefungwa bado hakosi shot on target hata mojaKuna got na GOAT🤣🤣🤣🤣
Semeni kingine nyie wapumbav
Hii siku, sura yako uliiweka wapi?Ningeweka wapi sura yangu leo,
Asante LEO MESSI
Vamos ARGENTINA.
Alikuwa anafanya warm up kwa ajili ya fainaliMessi analia nn sasa!!? Ha ha ha. Haamini kama kapelewa moto ama!
Kasoro hapaKila hatua Kuna mbinu za kiufundi zinabadilika
Unazungumzia ile fainali ya kombe la CHAN la Ulaya🤣🤣🤣Katika hatua zote Ronaldo amecheza na Spain
Kwenye hii World Cup wamekutana kwenye hatua ya mtoani 16 na Ronaldo aliondoka na shot on target 2 ndani ya dakika 90.
Lakini kwenye fainali pia wamekutana naye mwaka jana ambapo Ronaldo alifunga bao moja.
Na hii fainali ni Portugal ndio aliibuka mshindi.
Tupe na wewe takwimu za Joti.
Hata mabao ya Penaldo pia yamepoteza credibility maana mengi ni penatiBallon d'Or zishapoteza credibility, ni tuzo zinazotolewa kwa connection.
Ballon d'Or za Dwarf nyingi ni robbery mfano 2010 , 2021 na 2023 humo kafanya uporaji wa kiwango kilichoacha maumivu makali sana kwa wachezaji halali waliostahili.
Assist mpaka iitwe assist ni mpaka imfikie mtu ambaye ni bora kwenye ufungaji then afunge, watu 100 wanaweza kutoa pasi katika mazingira sawa ya mchezo ila ni 20 tu wataofanya hiyo pasi iwe goli.
Kwa wataofanikiwa kufunga kwa hiyo nafasi basi pasi hiyo itaitwa assist na kwa ambao watashindwa hiyo itakuwa ni shot on target/off target japo mazingira ni yale yale yanayofanana.
Kwa maana hiyo assist inaonesha ubora zaidi kwa mfungaji kuliko yule aliyetoa pasi.
Mazoezi ha haaa haaaAlikuwa anafanya warm up kwa ajili ya fainali View attachment 3636376
Haya twendelee na kombe hilo hilo ambalo wewe unaliona kubwa.Unazungumzia ile fainali ya kombe la CHAN la Ulaya🤣🤣🤣
Hapa tunaongelea makombe ya maana sio mabonanza
Kaangalie nani mwenye kapiga penati nyingi kule LaligaHata mabao ya Penaldo pia yamepoteza credibility maana mengi ni penati
Hata tukiangalia kwenye ufungaji Messi amemzidi penaldo vibaya🤣🤣🤣
Mungu hapendi hivyo mkuuKibao kimegeukaView attachment 3636294
Eti hatua ya makundi🤣🤣🤣Haya twendelee na kombe hilo hilo ambalo wewe unaliona kubwa.
World Cup ya 2018, Portugal alicheza dhidi ya spain kwenye hatua ya makundi na hapa chini ni stats za hiyo mechi.
View attachment 3636581
Shot on target 3 na zote ziliingia kambani.
Na zote hizo zilipigwa na mchezaji mmoja.
Unataka kujua ni nani?
View attachment 3636582
Nipe na wewe stats za Mr Pimbi wa Argentina
Nenda kaangalie nani ana wastani mkubwa wa kufungaKaangalie nani mwenye kapiga penati nyingi kule Laliga
Kaangalie nani mwenye kapiga penati nyingi UEFA
Kaangalie nani kapiga penati nyingi World Cup.
Kwenye hizo rekodi kuna rekodi nyingine ya kukosa penalti nyingi. Zote rekodi hizo zinashikiliwa na mtu mmoja.
View attachment 3636585
Unabeza?Eti hatua ya makundi🤣🤣🤣
Penaldo angekutana na Spain kwenye fainali asingegusa hata mpiraUnabeza?
Nipe stats za Mr Pimbi dhidi ya Spain akiwa na shot on target, namimi nikuoneshe manonyo ya nyoka
Angalia hii table inaonesha top scorers wa Laliga, Ronaldo ndio ana wastani mkubwa wa kufunga goli kwenye kila mchezoNenda kaangalie nani ana wastani mkubwa wa kufunga