2026 FIFA World Cup - Special Thread

Watu wanachukulia wc ni mpechempeche, lile kombe sio mchezo inahitaji uwe na timu kweli ndio ulibebe
 
Umeisaidiaje timu Yako kuchukua kombe ngazi ya taifa? Magoli ya timu ya taifa ya mechi za kirafiki nayo yapo?
Swali zuri.

Kabla ya Ronaldo, Ureno ilikuwa imefuzu mara tatu tu kombe la dunia. Ambapo ilikuwa ni mwaka 1966, 1986, na 2002.

Lakini baada ya Ronaldo imekuwa ni back to back hakuna mwaka ambao Portugal hajafuzu kucheza World Cup.

Mbali na hizo qualifiers za World Cup, Portugal likuwa haina kombe lolote.

Ronaldo ndiye aliyebadilisha historia hiyo kwa kuiongoza Portugal kushinda mataji yao ya kwanza kabisa ya kimataifa ikiwemo Euro 2016 na UEFA Nations League 2019.
 
Mafanikio ya Messi unayadunisha kweli kweli ila uhalisia Kila mdau wa Soka anauona.
Mmekuwa mkitaja kombe la dunia kama kipimo pale mjadala wa Messi na Ronaldo unapoanza.

Mimi nina challenge nyingine tofauti.

Wachezaji waliochukua kombe la dunia ni zaidi ya 400.

Lakini mchezaji aliyeifunga Spain hattrick ikiwa katika prime yake ni mmoja tu
 
Huachii mashabiki wa pessi wapumue kidogo?
 
Nazungumzia ngazi ya juu kabisa ya soccer duniani, wc, sio ngazi ya kikanda hiyo upande wa ulaya, halafu mbona kama unamdhalilisha ronaldo? Ronaldo ni MCHEZAJI mkubwa sio wa kuzungumzia hizo level za euro na nations league, ronaldo inatakiwa tujadili ana magoli mangapi kwenye world cup na tuzo ngapi
 
Kwani kilichomfanya Messi atangaze kustaafu ilikuwa ni kombe la dunia?
 


Ikitokea hata tumepata mechi ya kwenda kucheza na majitu ya kutoka mwezini huko, hichi kikosi ndio kitatumwa kikaitetee dunia

Kama MCHEZAJI WAKO hayupo JITAFAKARI sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…