Huyu anatafuta UEFA tu kwa Sasa maana bado haamini amepishana na Uefa 2 toka aondoke PSG...View attachment 3633726
Kwa muunganiko wa Barcelona ulivyo na wale vijana wao, mbappe kushinda la Liga atasubiri sana π
Kucheza Fainali 3 za World Cup na kushinda 1 sio jambo dogo.View attachment 3633789
Sio mbaya, medali, INGEKUA Hana worldcup na Copa America huyu jamaa sijui ingekuaje
Sio mchezo, wengine wanaangalia kishabiki, timu kama ureno haijawahiKucheza Fainali 3 za World Cup na kushinda 1 sio jambo dogo.
Swali zuri.Umeisaidiaje timu Yako kuchukua kombe ngazi ya taifa? Magoli ya timu ya taifa ya mechi za kirafiki nayo yapo?
Mmekuwa mkitaja kombe la dunia kama kipimo pale mjadala wa Messi na Ronaldo unapoanza.Mafanikio ya Messi unayadunisha kweli kweli ila uhalisia Kila mdau wa Soka anauona.
Huachii mashabiki wa pessi wapumue kidogo?Hata Infantino hakutarajia ndio maana aliwaandalia njia nyepesi.
Wewe unafikiri ni kwa bahati mbaya Argentina iwe timu pekee kwenye miaka 96 ya World Cup kufika semi final bila kukutana na top 10 ranked?
Hivi unadhani yale ambayo tumekuwa tukiyalalamikia humu kuhusu favouritism ambayo Argentina na Messi wamekuwa wakiipata, ilikuwa ni maneno matupu yasiyokuwa na hoja?
Unadhani ni kwanini Laporta ambaye ni raisi wa Club ya Barcelona kabla ya mechi alisema Spain wana timu nzuri ya kushinda kuliko Argentina ila ikiwa tu mwamuzi atachezesha fair?
Hivi unafikiri ni bahati mbaya kwenye miaka 96 ya World Cup (kasoro minne iwe karne ) Messi kuwa na Penalty nyingi kuliko mchezaji yeyote na huku penati 4 akizipata kwenye single tournament??
Uliyemuona jana, yule ndio Messi ambaye sisi tumekuwa tukimjua siku zote na tukiwaambia mnakaza fuvu.
Stats za Messi jana ni sawa tu na zangu ambaye nilikuwa naangalia hiyo game maana sina on target, sina off target, sina dribbles, sina goli.
Kitu pekee kinacho nitofautisha nayeye ni kwamba, mwenzangu alikuwa hana hivyo vyote akiwa yupo uwanjani wakati mimi nikiwa kwenye kitanda.
Nazungumzia ngazi ya juu kabisa ya soccer duniani, wc, sio ngazi ya kikanda hiyo upande wa ulaya, halafu mbona kama unamdhalilisha ronaldo? Ronaldo ni MCHEZAJI mkubwa sio wa kuzungumzia hizo level za euro na nations league, ronaldo inatakiwa tujadili ana magoli mangapi kwenye world cup na tuzo ngapiSwali zuri.
Kabla ya Ronaldo, Ureno ilikuwa imefuzu mara tatu tu kombe la dunia. Ambapo ilikuwa ni mwaka 1966, 1986, na 2002.
Lakini baada ya Ronaldo imekuwa ni back to back hakuna mwaka ambao Portugal hajafuzu kucheza World Cup.
Mbali na hizo qualifiers za World Cup, Portugal likuwa haina kombe lolote.
Ronaldo ndiye aliyebadilisha historia hiyo kwa kuiongoza Portugal kushinda mataji yao ya kwanza kabisa ya kimataifa ikiwemo Euro 2016 na UEFA Nations League 2019.
Kwani kilichomfanya Messi atangaze kustaafu ilikuwa ni kombe la dunia?Nazungumzia ngazi ya juu kabisa ya soccer duniani, wc, sio ngazi ya kikanda hiyo upande wa ulaya, halafu mbona kama unamdhalilisha ronaldo? Ronaldo ni MCHEZAJI mkubwa sio wa kuzungumzia hizo level za euro na nations league, ronaldo inatakiwa tujadili ana magoli mangapi kwenye world cup na tuzo ngapi
Nipe kikosi Bora cha world cup Mzee babaKwani kilichomfanya Messi atangaze kustaafu ilikuwa ni kombe la dunia?
Kitu gani hicho alicho achieve Ronaldo ambacho unaona ni extraordinary migo?Lakini kile ambacho Ronaldo ame achieve kwenye soka ni zaidi ya extraordinary, kufanya alichofanya Ronaldo kunahitaji zaidi ya kipaji ili kufikia ile level.
πππ Swali la kikatili sana hiliKitu gani hicho alicho achieve Ronaldo ambacho unaona ni extraordinary migo?
Kwamba lonado Hana msaada,,?
Nataka kukifahamu hicho kitu ambacho anadai Ronaldo ame achieve ambacho ni zaidi ya extraordinary.πππ Swali la kikatili sana hili
Giuliano aliwekewa mpira mbele ya mabeki akaedna kupiga krosi , pasi toka kwa namba kumi argentina au ile jezi anavaaga Mpanzu sheikh wng ?Yesterday Messi had just 5 touches. Out of those 5, three were from corner kicks.
View attachment 3633671
Amegusia eti ronado ndio aliwatoa mavumbini ureno wakashinda euro na nations leagueNataka kukifahamu hicho kitu ambacho anadai Ronaldo ame achieve ambacho ni zaidi ya extraordinary.