Wonder 😅😅😅Hawa km wana nguvu si walikuwa wazioneshe kwenye magoli tu
View attachment 3633204
Haa hawakuona mpira wa spain wakakaririHapa stori leo za FIFA hamna?
Au kwasababu LEO kakosa kombe?
MATACO yenu
KwishaaaaAcha Bla bla blaaa. Its Spain vs Argentina haya Tuonyeshe mbusi akiwa na kombe la pili la duniaView attachment 3633237
Mnooo
Nilikwambia mimiHaya mauza mauza jamani
AbeeeMama mchungaji heshima yako.
Uliniambia🙄😩Nilikwambia mimi
😅😅
Wala kawaida tu😁 Umeandika kwa uchungu sana
hadi wewe Spain?Uliniambia🙄😩
Au ulikuwa hujawaona hawa watt wakichwza na Austria ma tema nyingine???Uliniambia🙄😩
Nooooo🥹hadi wewe Spain?
Jana nilisema hapaila binadamu ni wanafiki sana, nimepitia hapa eti hakuna hata mmoja anayesikitika kabisa.
how comes leo watu wote wawe Spain??
nakupa pole sana.Nooooo🥹
yaani...binadamu kazi kweli kweli, hatupendi kabisa kushindwa sijui ni kwaniniJana nilisema hapa
Ukitaka kuona watu walivyo wanafiki na hawaipendi Argentina subiri ifungwe
Ndo unachokina sshv
Team spain since day 1 tunajuanq wale wa goat wamekumbia uzi
😅😅tatizo watu ni wabishi snWanatafuta namna gani wambebe hata kwa kipenati cha mchongo.
Dogo Yamal anaenda kuamulia hili 2nd half