Hii haikupaswa kuwa foul
Haja wagharimu mnacheza li mpira la kizamani la kipumbavu pumbavu kuvamiana mwilini nilikuambia humu kabla hata ya mechi kuanzaEnzo ametugharimu sana
Naunga mkono hojaZile mechi za Afcon zilimfunza kitu. Ameiga tabia za Egypt, Algeria na Cape Verde kupoteza muda ili kupoza mashambulizi au kuvizia ET.
Na usisahau kuwa Kipa ndio mchezaji pekee anayefanya ubao usomeke 0-0
Kipa ni wakupewa sana hongera hadi sasa.
Punguza shoboHaja wagharimu mnacheza li mpira la kizamani la kipumbavu pumbavu kuvamiana mwilini nilikuambia humu kabla hata ya mechi kuanza
Argentina haiwezi kucheza mpira mzuri tu kwani ?