Sahahu jirani ๐นHata Mimi,yeyote atakayechukua poa tu ila ni bora zaidi achukue La Pulga.
Inakuwa kubahatisha huko. Argentina kuwa mudu hawa vijana hadi muda huu wametisha sana.Spain angekua anapiga mawe nnje ya 18 hii mechi ingechangamka sana
Jana watu tulikuwa na mixed feeling kishenzi.Wewe mi jana nilitaka ufaransa ashinde coz England siwakubali
Na hapo hapo nilikua sitaki Mbappe afunge ili asimpite Messi
Yaani jana nilikua kimkakati
Hadi sasa wanavyocheza wakichukua sina baya. Ila Argentina ni kama watu wazima flani swarming wanaweza kuwabadilikia hawa madogo muda wowote. Na wenyewe wanajua ndio maana wanakomaa hata wapate goli mapemaTwende na Spain
MbelekoHuyu Messi anachezea ustaa ila hajafanyiwa faulo kivile.
๐น๐น๐นBora ifike half time nipumzishe roho yangu.
Jirani haya mambo ya mpira unaweza kufia juu ya kiti aisee.๐น๐น๐น
Watu nimegundua hawakuona spain mech zilizopitaSahahu jirani ๐น
Hivi madogo umeona mpira wao lakini?
Mechi inanipa presha hii....bora tupumue kidogoBora ifike half time nipumzishe roho yangu.
Kabisa, shida ya Spain anataka kubaki na kipa, njia ileileEwaaa!
Mtazamo wako ni kama wangu. Apige umeme tu mapema sana ubao unabadilika.
Kwa namna wanavyocheza, Argentina akipata goli Hispania kurudisha itakuwa mbinde.
Wewe naona hatupikwi chungu kimojaJana watu tulikuwa na mixed feeling kishenzi.
Mimi nilikuwa nataka england ashinde, lkn mess apate magoli mawili matatu ili amzuie mess kwenye buti ..ilikuwa tafrani tupu๐๐๐
๐ Umeandika kwa uchungu sanaMi sina mtu naemshabikia
Ila leo napenda spain ashinde ...
Kitu kinanikera ni ile kuonekana mtu 1 badala ya team