The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 37,986
- 117,375
Vijana wa Museven wa Portugal.Vinyonga hao , wanabadilika kufuatana na mazingira.
Vamos Argentina! 🩵
Kumbe hadi wewe upo hukuVinyonga hao , wanabadilika kufuatana na mazingira.
Vamos Argentina! 🩵
Hata Mimi,yeyote atakayechukua poa tu ila ni bora zaidi achukue La Pulga.Nashindwa nimshabikie nani maana wote ambao siwapendi wameshatolewa. Ninaowapenda ndio wapo.
Huyu Mzee mchawi hatabirikiLeo ni kama Messi amemezwa ! Au mida yake bado ?
Yalifeli vibaya sanaKwa hiyo malengo yako yote mawili yalifeli maana England alishinda na Mbappe alifunga
Ewaaa!Spain angekua anapiga mawe nnje ya 18 hii mechi ingechangamka sana
Huyu dogo Man U wamuuze tu pancha nyingi sanaMartinez pancha
Mi sina mtu naemshabikiaNi shabiki wa nani wewe?
Haya spain wakishinda unajua pakudondosha namba. Ngoja nishabikie Argentina sasa.Wanasema team Messi na team yamal
Me:team yamal
Mi nakumbuka 2022 hili tukio lake la faulo akimchezea Kolo MuanOtamendi INN