The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 38,028
- 117,543
Wameshawachagua hao Barcelona 'B'..๐๐Mashabiki wa Mbuzi wana wakati mgumu sana,
Mbele moto,nyuma moto!
Final ni Argentina VS Spain,
Hawajui washike lipi na waache lipi,
Ni sawa na mtu aliyekunywa chai ya moto,hajui aimeze au aiteme.
Mpaka watubu mtani๐Uzi tunao na Argentina tunatamba nayo Mtani. ๐
Hivi Mtani hapa ndo mpaka waombe Poo ๐คช au huu ni muendelezo mpaka jumapili ya Fainali ifike? ๐๐
Kuna watu watalia na kusaga meno, watakonda sana kwa roho zao za wivu na ujinga.Amkeni amkeni jamani๐ฅ๐ฅ
๐จNEW: The official Ballon d'Or account just released official confirmation that a player can win the Ballon d'Or while playing for a non-European club.
Kabla yake wamepita nyota wengi sana na baada yake watakuja wengi wazuri..Naisikitikia Argentina baada ya Messi itakuaje.
Mshindi ajaye tayari anafahamika, hata Scars anamfahamu...๐๐๐Amkeni amkeni jamani๐ฅ๐ฅ
๐จNEW: The official Ballon d'Or account just released official confirmation that a player can win the Ballon d'Or while playing for a non-European club.
Ondoka hisia, enjoy soccer. Vinginevyo utakua unajiumiza tu bure
Mkuu, morocco kuondolewa iliniuma sana, ndio the second team kushabikia in the world baada ya ArgentinaAll the best Morocco
Correction:Ila maisha bana ๐คฃ.
Hii siyo AI. Ni picha ya kweli kabisa.
Hapo ni Messi akipiga picha na Lamine Yamal akiwa kama vile anamuogesha.
Nadhani ilikuwa mwaka 2005.
Jumapili wanakutana MetLife stadium kama ma superstar wa timu zao katika fainali za kombe la dunia 2026!
View attachment 3630710
Shukran jazilan ๐ kwa masahihisho.Correction:
Mkuu, Lamine Yamal kazaliwa 14/7/2007. Hivyo, hawezi kuwa 2005, labda picha ilipigwa 2007 au 2008 mwanzoni.
Ila maisha bana ๐คฃ.
Hii siyo AI. Ni picha ya kweli kabisa.
Hapo ni Messi akipiga picha na Lamine Yamal akiwa kama vile anamuogesha.
Nadhani ilikuwa mwaka 2005.
Jumapili wanakutana MetLife stadium kama ma superstar wa timu zao katika fainali za kombe la dunia 2026!
View attachment 3630710
๐๐๐Mpaka watubu mtani๐