Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,526
- 235,267
Our very own brother Jordan HendersonMashabiki wa ronaldo hawa, hawana pa kukimbilia tena, labda england kidogo ina wazungu weusi wenzie atajifichia huko π eti Saint Anne
Yeye kwanini asifanye kila lonalowezekana asawazishehukuona feeder wao alizidiwa? na wakashindwa kabisa kubadilisha mbinu zao
Ila mwaka huu hii mbeleko yao haitawafikisha mbaliUnayo akili kubwaπ
Sasa timu imeshika nafasi ya kwanza ulitegemea nini? Okay angeshika nafasi ya pili angekutana nani? au mngebadilisha maneno. Unashindwa kumfunga best looser wa Africa DRC, halafu unambeza mwenzio aliyeshika nafasi ya kwanza?Wapinzani wa Argentina
Hatua Mpinzani FIFA Ranking Kundi J Algeria 28 Kundi J Austria 24 Kundi J Jordan 63 Hatua ya 32 Cape Verde 67 Hatua ya 16 Misri 29 Robo Fainali Uswisi 19
Niambie ni mwaka upi ambao kombe la dunia lilifanyika na ikatokea timu moja inafika robo fainali bila kukutana na timu yeyote kutoka kumi bora ya FIFA ranking?
Scars unapenda sana kulalamika, usijepata tu anxiety disorders...Mungu akunusuru shehe wanguSasa timu imeshika nafasi ya kwanza ukitegemea nini? Okay angeshika nafasi ya pili angekutana nani? au mngebadilisha maneno. Unashindwa kumfunga best looser wa Africa DRC, halafu unambeza mwenzio aliyeshika nafasi ya kwanza?
Hamna kilichopangwa, matokeo ya uwanjani ndio yamempa nafasi Argentina, maana angeshika nafasi ya pili basi angekutana na Spain,so anakula matunda yake ya nafasi ya kwanza.
Halafu mbona umeweka za Argentina, mbona za wengine huweki? Hao Uzbekistan na DRC kwenye Rank za FIFA wote wapo chini ya Algeria na Austria,sasa nani anayebebwa?
Mkuu kwa ile mechi ya jana spain walivyocheza ni sahihi kumlaumu mbape?? Mtu unapigwa hangaisha jinga mpira unatoka hapa unahmie kule. Toka timu hazijafika robo niliwaambia humu kua france akikutana na spain basi kaisha coz wao wanategemea speed/mbio. Sasa Spain wao strength yao ni kukaa na mpira miguuni na wanakunyanganya fasta tu. Sasa mbape angefanyaje wakati walizidiwa kila kona, mpira hawaupati.Mbappe yupo uwanjani wanatoka na sifuri
Pumbavu sana Mbappe
Alienda kufanya nini sasa?
Hakumkejeli mtu ila ali react, so ku react ni kufanyaje?Messi zidi ya Uholanzi Messi hakumkejeli mtu, bali alireact baada ya bench la Uholanzi kumzingua, so aulitegemea akae kimya?Okay kwani mchezaji akifanya kama alivyo fanya Messi zidi ya benchi la Uholanzi, refa huwaga anafanyaje?
Sio mind reader, ni facial expressionKwa hiyo wewe mind reader, criteria gani uliotumia kumuona Infantino alikasirika baada ya Cape Vedre kuchomoa goli mbili?
Niliweka hapa clip yakeWapi huyo Infantino aliyaweka hayo mapenzi yake wazi (Vizuri ukashare reputable sources).
So kupewa penalty tano ndio kupendelewa?OK unaweza kushare hizo video tano za hizo Penalty kuonyesha huo upendeleo.
Sijasema hela zilituumwa account ya FIFAUnazidi kuwa Muongo ,hebu soma hii
Halafu niambie wapi hizo hela zilitumwa account ya FIFA maana tuhuma za AFA zipo hapa "U.S. federal authorities are examining whether hundreds of millions of dollars in AFA-linked commercial revenue were laundered, specifically targeting international sponsorship and media-rights funds." Halafu hizi ni tuhuma ambazo zinazofanyiwa uchunguzi na hazihusiani na FIFA.
TATIZO LAKO UNAONGEA HISIA ZAKO ZILIZO JAA MAUMIVU ZINAZO KUPELEKEA KUWA MUONGO.
ππΌππΌππΌTANGAZO KWA UMMA
Sisi kama mashabiki wa Messi na Argentina tunatangaza rasmi kuwa mashindano ya World Cup 2026 yameisha jana baada ya Mbuzi Pori kufurushwa mashindanoni.
Hata sasa tukitolewa hatutakuwa na deni maana lengo letu limetimia kwa Mbuzi Pori kutokuchukua taji la mashindano haya.
Tunawatakia mabaya yote mashabiki wa Mbuzi Pori watakaokuwa wanahamia kwa Mbappe kimya kimya.
Imetolewa na Mashabiki nguli wa Messi na Argentina.
View attachment 3624185
Mbappe yupo uwanjani wanatoka na sifuri
Pumbavu sana Mbappe
Alienda kufanya nini sasa?
Kwa hiyo unataka kusema katika miaka 17 ya kombe la dunia ni timu moja tu ya Argentina yenye bahati kuliko zote ya kula tunda la nafasi ya kwanza ambayo imewafanya mpaka wafike robo fainali bila kukutana na Giant wa top ten?Sasa timu imeshika nafasi ya kwanza ulitegemea nini? Okay angeshika nafasi ya pili angekutana nani? au mngebadilisha maneno. Unashindwa kumfunga best looser wa Africa DRC, halafu unambeza mwenzio aliyeshika nafasi ya kwanza?
Hamna kilichopangwa, matokeo ya uwanjani ndio yamempa nafasi Argentina, maana angeshika nafasi ya pili basi angekutana na Spain,so anakula matunda yake ya nafasi ya kwanza.
Halafu mbona umeweka za Argentina, mbona za wengine huweki? Hao Uzbekistan na DRC kwenye Rank za FIFA wote wapo chini ya Algeria na Austria,sasa nani anayebebwa? Unakutana na Vigonza unavi chekea, mwenzako anavikanda, halafu unaanza kulalamika wakati uzembe wako mwenyewe.
Sasa wewe na CBC na mkweli na wameweka habari kamili.Halafu mimi nimekuwekea reputable source, wewe unaleta story za vijiweni.Hakumkejeli mtu ila ali react, so ku react ni kufanyaje?
View attachment 3629494
Sio mind reader, ni facial expression
Niliweka hapa clip yake
Nikisema Raisi wa FIFA Gianni Infantino ni shabiki wa Argentina sio kama namuonea.
Hii ni interview fupi aliyoifanya baada ya game ya Argentina na Cape Verde.
Ni sekunde 10 zenye maneno mazito na yanayoelezea mambo mengi.
Gianni Infantino amesema maneno haya " I suffered with Argentina today"
Yani namna ambavyo mashabiki wa Argentina na Messi walivyokuwa wakiangalia mechi roho juu huku wakiwa katika pressure. Naye Gianni Infantino alikuwa anapitia machungu hayo hayo.
Na ukumbuke mara kadhaa camera zimemnasa akishangilia goli la Messi na muda mwingine furaha inazidi hadi...
Siwezi kushea video zote 5, mimi nitaku pointia kaangalie penati aliyosababisha Di Maria kwenye mechi ya fainali.
Sijasema hela zilituumwa account ya FIFA
Nimesema FIFA walituma hela kwenye account ambayo hai link ya shirikisho la AFA. Ukiweza kuni quote vizuri tunaweza kuwa na mjadala wenye kujenga zaidi kuliko kulishana maneno.
FIFA ndiyo inayotoa na kuidhinisha malipo ya zawadi. Kisheria, FIFA ina idara ya ukaguzi (Compliance) ambayo inalazimika kuzuia fedha kwenda kwenye makampuni binafsi yasiyoeleweka.
Kwa FIFA kukubali kusaini na kutuma mabilioni hayo kwenye kampuni isiyo na uhusiano na soka siku chache tu kabla ya fainali, inaweza kuwafanya waonekane kama washiriki kwenye utakatishaji huo wa fedha.
Na tayari wasiwasi huu wa FIFA kuhusika kwenye hii kashfa unazidi kuwa mkubwa tukirejea baadhi ya matukio ya nyuma hususani kesi ya kocha wa timu ya vijana wa wanawake aliyewahi kushtakiwa kwa unyanyasaji wa kijinsia. FIFA walihusika kufanya covered up, hayo yote yamekuja kubainika baada ya nyaraka za siri kuvuja.