Canada leo ata score 1 goal or 2 goals.
Yes ingawa Bosnia ni mgumu, ila atapigwa leo, labda Canada angekuwa Away .Timu za Yuropu sio nyepesi Mkuu
Brazil hiyo mechi sitakiwi kuikosaRatiba ya Leo...
Kesho ndio kimbembe zaidi.
View attachment 3606103
Game ya Brazil vs Morocco!!
Inapigwa time mbayaaa
Ni kama channels rasmi like Super Sports ndiyo zina highlihts.Inaonekana channel za youtube zimezuiwa kuonyeshwa highlights za hizi fainali. Kumejaa highlights za kitapeli tu.
😁 Shalullile sio msauzi ni MnamibiaYeah cape Verde nao hawajambo wanaendaga kimatani matani sana
Afu Sauz walikuaga na mchezaji asili ya kama sijui ni Japan sijui ni China Peter Shalulile alikua yuko fiti sana saivi hayupo kikosini?
Awamu hii simuoni alikuwa yupo vyedi sana uwanjani😁 Shalullile sio msauzi ni Mnamibia
na wenyewe jana wameadhibiwa vikali sana, wachezaji walikuw kama watu waliokata tamaa kabisaHata sisi inatakiwa tuungane na Wanaija tuwatimue wakina Maema
yule ni Mnamibia yuleYeah cape Verde nao hawajambo wanaendaga kimatani matani sana
Afu Sauz walikuaga na mchezaji asili ya kama sijui ni Japan sijui ni China Peter Shalulile alikua yuko fiti sana saivi hayupo kikosini?