Argentina kila katimu kanampelekea moto na kwesho kaz anayoIkumbukwe hii
Nusu Fainali
Spain v France
France anapita anaingia Final
....
Robo Fainali
Norway v England
England anapita
....
Argentina v Switzerland
Argentina anapita
....
Nusu Fainal
Argentina v England
Argentina anapita
....
Pay-off 3rd place
Spain v England
Winner: Spain
......
Final
Argentina v France
WC26 Winner: Argentina
Tunza kumbukumbu hii
HapatatoshaFrance Vs Spain..
Patachimbika
Mashabiki wa Mbuzi wote watahamia France.Niko na France
😁😁😁bado hujasemaa.Hakuna watu wasumbufu kama mashabiki wa Dwarf.
Yani mechi ikiisha tu lazima waanze kutaja taja jina la GOAT.
Na hapo hajacheza.
Wafupi mbona mna nongwa sana wazee?
😁😁😁mambo ya kina harmonize hayo, hakupaswa kufanya mtu kama yyMnavyoiangalia sasa hiyo post ya GOAView attachment 3626672
Ngoja tuone, ila kwa spain tutamkanda tu.Mzee Ufaransa mstari wake wa mbele una watu wabaya sana.
Mnavyoiangalia sasa hiyo post ya GOAView attachment 3626672
Mwanze mara ngapi wakati tulishawabonda mara nyingi tuNgoja tuanze na mtoto, baba tunamkanda wa mwisho
Utahama sana babu, na leo ulikua unashabikia ubelgiji 😄😄😄
Mimi kama albiceleste tulishawapiga 2022Mzee wa Morocco vipi? We huiogopi France..
Spain anapigwa na France anaenda kucheza play-off na England hapo ndio anaenda kupoza machungu kwa kumfunga England's na yeye ndio anakua wa 3Huyu dada utabiri wake ulianza before michuano kuanza kuwa SPAIN anachukua ndoo
Hahaha nitakua hapa kesho kukushuhudia ila sitokushika sikio nitakuacha uropoke yote kabla ya kufunga mdomo wakoArgentina kila katimu kanampelekea moto na kwesho kaz anayo
France atamtafuna vizuri sana na wadau watabaki mdomo wazi...😃😃Spain wana bahati sana
We kua nae mpaka akuueNiko na France
Watoto wa CCM hawaelewi kiongozi embu paza sauti mpaka wale wa GOT wawe viziwiSpain mnawachukulia poa lakini watawashangaza
Hao moto lazima wapelekewe kama egypt ya Afcon imempelekea moto kiasi kile ww unategemea nnHahaha nitakua hapa kesho kukushuhudia ila sitokushika sikio nitakuacha uropoke yote kabla ya kufunga mdomo wako
Kwanza kabla kesho Argentina hajamfunga Switzerland na kutinga Nusu fainali una lolote la kusema? Sema leo kabla ya kesho isije ikafika kesho ukaishiwa cha kusema
Tulieni viboko viwaingie, mnapelekewa moto hadi na timu za Afcon na mkishinda mnashangilia balaa maana mmetoka kwenye bonde la umauti😀😀Mwanze mara ngapi wakati tulishawabonda mara nyingi tu
2025, tuliwabonda 5, yamal aliscore 2
2024, tuliwabonda 2, lamin na olmo
Sisi wanaArgentina tulishawabonda tukaondokanalo😄