2026 FIFA World Cup - Special Thread

Tokapa unanipotezea muda
 
Mwanafalsafa mmoja anaitwa Machiavelli alisema "The end justifies the means".

Mjadala wa nani ni bora zaidi umehitimishwa na Matokeo ya mwisho...

Sio kila anayeitwa mwanafalsafa basi nukuu zake zinatakiwa kuchukuliwa serious.

Nyie ndio mnakujaga kutapeliwa.

Wengine ni psychopath

Ni sawa na watu walioko nje ya JF wana amini JF kuna watu wenye akili kubwa na fikra pana.

Watu hao wanakuwa wana amini hivyo kwasababu hawajakuona wewe na ndugu zako hapo juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…