Wakati tukimpongeza Messi kwa kuandika rekodi ya kwanza kwa dunia kuwa na mfungaji bora mwenye goli 20.
Tukumbushane na zile nchi ambazo alizifunga kwenye haya mashindano hadi kufikisha jumla ya idadi ya mabao 20.
๐ท๐ธ Serbia & Montenegro - 1
๐ง๐ฆ Bosnia & Herzegovina - 1
๐ฎ๐ท Iran - 1
๐ณ๐ฌ Nigeria - 3
๐ธ๐ฆ Saudi Arabia - 1
๐ฒ๐ฝ Mexico - 1
๐ฆ๐บ Australia - 1
๐ฉ๐ฟ Algeria - 3
๐ฆ๐น Austria - 2
๐ฏ๐ด Jordan - 1
๐จ๐ป Cape Verde - 1
Hayo ni magoli 16 kati ya magoli 20 aliyofunga.
Hayo manne mengine ni dhidi ya
๐ญ๐ท Croatia - 1 (penalty)
๐ซ๐ท France - 2 (1 penalty, 1 open-play goal)
๐ณ๐ฑ Netherlands - 1 (penalty)
So hapa tunaona goli 3 kati ya nne alizofunga kwenye hizi giant timu zilikuwa ni penalty.