Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 3,210
- 9,054
Nami hii nimeipenda, baada ya hii mechi Argentina wataongeza umakini sana watakapo kutana na team nyingine.Cape Verde wametupa mechi nzuri na kutukumbusha tusibweteke
Ni kama tulivyokumbushwa na Saudi Arabia WC ya 2022 pale Qatar
Kuna namna Scaloni ana uzembe alafu nafikiri hawamwambii ukweli, ile final na France alifanya mistake akamtoa Di Maria..Cape Verde wametupa mechi nzuri na kutukumbusha tusibweteke
Ni kama tulivyokumbushwa na Saudi Arabia WC ya 2022 pale Qatar
goooooooooooooo🤪🤪🤪Chumaaaaaaaaaaaa
Ulishakata tamaa kabisa mwanetuDaaaaaaaah hakuna tofauti na mechi ya fainali Argentina vs France.
Hii ndo timu pekee ya weusi wenye akili
View attachment 3621852
Kiti katoka mganga yupo hoiKumbukeni niliwaambia France hachukui kombe. Leo nawambia hapa tena toka game inaanza Argentina hatoboi. Kwa naoishi nao huku wanajua nilivyo mzuri kwenye maono.
#Ngoja tuone