Tulikuwa tunawafunga nyakat zimebadilikaBongo miaka 1000 hatuwez kufika level hizi walizofika cape Verde
Wengine wanabadilika, hata Comoro sio wale, taifa stars inazid kudumaaTulikuwa tunawafunga nyakat zimebadilikaView attachment 3621831
Nakubaliana na weweWachezaji wa Cape Verde wana tatizo la kutaka kuonekana na klabu za kimataifa. Badala wacheze practically kwa pasi za uhakika wanalazimisha manjonjo ya kukokota mpira, kuchukua mabeki na kupiga vi-show off mwishowe wanapoteza.
Argentina siku zote uchezaji wao si wa kupaka rangi. Wewe cheza kama hata fundi jenereta, ila piga mpira ufike unakotakiwa na kwa muda sahihi. Mambo ya kupaka rangi muachie Messi.
Sisi ni wareno lazima tuwakomeshe hawa wahuni.Ndicho tunachosubiria tu
Hata Nigeria 2018 walipopolewa kwa mtindo huu huu.Lionel Messi is just not real, the touch, control and finish, I cannot believe what my eyes are watching.
Jana nililalamika Stars kubaki na kina Himid Mao na Mohammed Hussein member mmoja akaja juu.Wengine wanabadilika, hata Comoro sio wale, taifa stars inazid kudumaa
lete za Madueke na England yako😹😹😹Noises started...🤣
ukiangalia tim ya vijana ya Azam ina watu lakn wanapotea kusiko julikanaJana nililalamika Stars kubaki na kina Himid Mao na Mohammed Hussein member mmoja akaja juu.
Serengeti Boys kila mashindano inafanya vizuri, wale vijana huwa wanaenda wapi? Staafisha hawa wasio na matokeo ambao hawana ambitions tena, leta damu inayohitaji kuonyesha kitu. Ukishampiga chini kabisa mtu hata misumali kwa madogo inapungua.