Kwanza hujajibu swali.Kabla ya Hilo tukio Kuna mido km sikoa touchmen wa ufaransa alimfanyia madhambi Messi katikat ya uwanja ikapigwa pasi ikamfikia kolo muan
messi alisukumwa na akapigwa kiatu akaanguka refar akameza filimbi
Sasa mpaka unavyo vianzisha wewe hujui maana yake. Sasa mimi utanielewaje? Sikulaumu kwakuwa umechaua mwenye kutonielewa na hautokuja kunielewa.Imenibidi tu nicheke maana mwanzo nilijua unafanya makusudi.
Post niliyokuambia uirejee ni hii
View attachment 3621496
Lengo lilikuwa ni kukumbusha kusoma na kutambua kilichoandika kimegusa nini.
Maana hapo nilikuwa nimefanya criticism kupima umakini wako wa uelewa.
Then ukaja kurudia kosa lile lile. Kikawaida ungekuwa umenielewa usingethubutu kurudia hizi errors.
View attachment 3621497
Hii imenifanya nione kama hufanyi makusudi kama ambavyo nilikuwa nafikiria. At this point hatuwezi kuelewana prolly una mambo mengi yana spin kichwani.
Sasa mpaka unavyo vianzisha wewe hujui maana yake. Sasa mimi utanielewaje? Sikulaumu kwakuwa umechaua mwenye kutonielewa na hautokuja kunielewa na bora husinielewa kabisa.Imenibidi tu nicheke maana mwanzo nilijua unafanya makusudi.
Post niliyokuambia uirejee ni hii
View attachment 3621496
Lengo lilikuwa ni kukumbusha kusoma na kutambua kilichoandika kimegusa nini.
Maana hapo nilikuwa nimefanya criticism kupima umakini wako wa uelewa.
Then ukaja kurudia kosa lile lile. Kikawaida ungekuwa umenielewa usingethubutu kurudia hizi errors.
View attachment 3621497
Hii imenifanya nione kama hufanyi makusudi kama ambavyo nilikuwa nafikiria. At this point hatuwezi kuelewana prolly una mambo mengi yana spin kichwani.
Tecno Y3 ndio imefanya mapinduzi ya simu , baada ya kushusha bei mzigo washamba wengi wakaanza kumiliki smart phone na smart phones zikawa rahisi kupatikana .Hii simu sijaikumbuka kwa miaka mingi sasa. Imekuwaje umeiwaza 😂
Ndiyo wanaingia uwanjani
Ni attitude yao tu.Watu wanasema Timu za Afrika endapo mechi za Kombe la dunia zingechezwa kwa dakika 80
View attachment 3621569
Yeah wamemaliza kuimba nyimbo za taifa sasaNdiyo wanaingia uwanjani
Nani atakuwasha???Ndani ya Dk 10 tu kina happen