2026 FIFA World Cup - Special Thread

Timu ngumu za kuipa changamoto France ni zipi?..
 
France wako vizuri hapo mbele, wakikutana na Argentina kwa hiyo back itakua piga nikupige kama ile ya fainali ya 2022.. France akijutana Argentina au Colombia ndo itakua kipimo sahihi maana tunamwona mkali anavyowafunga hao wachovu
Colombia sio haba....labda tuone na hao Argentina kama watafurukuta..
 
Sure kabisa nahisi ana deserve kuchukua kombe... Lakini pia hajakutana na Kipimo sahihi design ya timu kama Argentina hapo ndo tutajua panapovuja.. Maana wote aliowagonga ni tia maji sana.
Ila nahisia safari hii wananyanyua kwapa, pale mbele wako clinical sana, mbappe, Dembele, Barcola wakisaidiwa na Olisse ni habari nyingine, hata Argentina kwa staili hii wanaweza pasuka tu
 
Ila nahisia safari hii wananyanyua kwapa, pale mbele wako clinical sana, mbappe, Dembele, Barcola wakisaidiwa na Olisse ni habari nyingine, hata Argentina kwa staili hii wanaweza pasuka tu
Ni kweli mkuu, hata nao Ufaransa hizo Beki za Upamekano, sijui Kounde siku hiyo Messi amemka na Mashetani yake huoni km mtu atakua anapasuliwa kwake... Gonga nikugonge km ile ya 2022
 
Ni kweli mkuu, hata nao Ufaransa hizo Beki za Upamekano, sijui Kounde siku hiyo Messi amemka na Mashetani yake huoni km mtu atakua anapasuliwa kwake... Gonga nikugonge km ile ya 2022
Ila gonga ni kugonge ya safari hii, sioni kama Argentina atabahatika safari hii ni kweli eneo la ulinzi kuna tatizo lakini naamini pale mbele patasahihisha makosa ya ulinzi, they are deadly Infront of the goal, watu weusi wa maana kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…