Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 8,368
- 10,381
Si na watoto wenzaoUmeona mechi yao ya mwisho?
Si na watoto wenzaoUmeona mechi yao ya mwisho?
Scars najua wewe CR7 damu, ila serious unamchukia sana Messi aisee 😁😁Maamuzi sahihi kabisaView attachment 3612736
Alikuwa mchezaji wa mwisho nimetoka kuielezea huko juuView attachment 3612737
Ndio maana tunasema 2922 ni rigged tournament ever, Argentina hapa alibebwa kwasababu Otamendi alipaswa kupewa.kadi nyekundu kwa hii faulo kwakua Kolo Muani alikuwa mtu wa mwisho
View attachment 3612739
OkaySi na watoto wenzao
Ich glaube nicht, dass Argentinien und Portugal in der Lage sein werden, die Weltmeisterschaft zu gewinnen."Bingwa si Ureno au Argentina
Wengi wa timu Pessi niliokutana nao mtaani ni wafupi.Hao wote wanatamani wawe wake wenza wa Georgina yaani wanamuonea sana wivu kuchezea mauno ya Ronaldo kila kona lazima wamtaje. Wanawashwa washwa sana. Kila kona wao hadi nyuzi mia mia wamemuanzishia. CR7 anawaumiza wengi na wala hana mbeleko kama princess wao
Uyo asingeanza, uyo angeingia dk za mwisho 80+Lukaku out
I second you🤣Ich glaube nicht, dass Argentinien und Portugal in der Lage sein werden, die Weltmeisterschaft zu gewinnen."
Wewe nawe tunakuweka kundi la kumchukia MessiWengi wa timu Pessi niliokutana nao mtaani ni wafupi.
Na tafiti za kisayansi za hivi karibuni zinasema watu wafupi wana roho mbaya kwasababu mioyo yao ipo karibu na matako.
Imewapunguza kasi aiseeDah red card itawamaliza Ubeleshi
Huyu Jamaa aliekula red kuna Muda alimsukuma mchezaji wa Iran na hakuwa na mpira (Ile ya oya acha kunigusa gusa)Ebu elezea kidogo siangalii mechi