2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Watamkumbuka sana Captain Harry Maguire
1781729684790.jpeg
 
Sikuifatilia kwa ukaribu kama hii
Ukweli ni kwamba ya 2022 haikuwa na ushindani kwasababu kuna timu moja iliandaliwa kutwaa taji kwasababu za kibiashara pamoja na mchezaji wake kuwa favourite na FIFA.

Ladha ingeonekanaje ikiwa kila mechi kulikuwa na penati?

Ushindani ungeonekanaje ikiwa hakuna usawa wa kimaamuzi kwenye kutafsiri sheria za faulo?
 
Back
Top Bottom