😁😁😁😁 Anakula pesa za watu wa msikitini tuuMzee Ronaldo kashajichokea zake anazunguka zunguka tuu. Acha aendelee kula kikokotoo kitoksnacho na Kodi za wanaokwenda kulizunguka jiwe.
Wamejitahidii wee kumbadilisha dini ili wamtumie kwenye propaganda za dini imeshindikana. Sasa wanamtengeneza video za AI . Yeye anakula Kodi zao
Hata ungekuwa wewe mkuu, straika wako babu cr7 uchungu unaupatia wapi?Bruno ana uchungu na club kuliko NT
🫰Nimependa namna Refa anachezesha mechi fair bila bias
Penye kadi anatoa kadi bila kuangalia ustaa.
Daah Mungu anipe nn mimi kwa hiki tulichopataEngland-Croatia na assume game itakuwa 🔥
Napanda mwendokasi niwahi chaap hapo kwenye huo uziNgoja nirudi kwenye uzi wa Ronaldo vs Messi