2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Hapa sasa ndio tukumbushane kuhusu somo la uzalendo kwa waafrika wenzetu

Screenshot_20260617-010100.png
 
Huyu beki wa kushoto wa Norway ni uchochoro wakikutana na France inakula kwao mazima
 
Dk 19
Norway wanapata kona.
Iraq wanakaba kwa bidii sana.
0-0
 
Back
Top Bottom