Ulikuwa umebana sana mbupu mkuu 🤣At the end mkubwa ni mkubwa tu
View attachment 3609399
ExactlySenegal walichokosa kwenye hii game ni goli,everything is super
Huyu ndio balaaaHapo Senegal wahakikishe olise haendi then wapeleke mooto
Timu ya ushindi ni timu ya ushindi tuUlikuwa umebana sana mbupu mkuu 🤣
Shida nini?Nalog off 😬😴😴😴
Zile anapiga MESSI tuuNimeelewa sasa kwanini tajiri aliweka Florentino Perez aliweka dau kubwa la kumsajili Olise
Ile assist ndio tofauti ya Olise na akina Saka
Niliona ile, dogo yuko vzrKapiga mbili hivi za moto sana hiyo ya Goli na ile aliyokosa Mbape