Jana raphinha katunyima ushindiKwa kiwango hiki cha Brazil. Hii timu ikiendelea hivi haitafika mbali.
Si ni kesho tu hapo ngoja ifike tuone.Sio Yamal mkuu ni mpira wanaopiga zile pass ukichanganya na makeke ya Yamal ndo kabisa na huku pembeni umkute olmo ni π₯.Nakumbuka EURO sikuangalia sana niliangalia Ile game yao vs Germany tena dakika ya 90 ball lililokuwa linapigwq mule ni kama orgasm π
Hapo hapo nikatoa nikamwambia mshikaji ili Spain wanabeba kama unabisha weka mzigo asipobeba Spain chukua hela , hela niliichukua
Hawa australia walikuwa wanatupa mili mbele ya mipira yote....acha kabisa ila counter yao ile ya goli la kwanza balaaaa....gamondi akaanglie hii mechinaone jinsi ya kupiga counterMatokeo ya Australia dhidi ya Uturuki hayakutegemewa. Kumbe huyu bwana mdogo ni mzaliwa wa Kigoma!
View attachment 3607448
Kule Barca hachezi ile wing ya kulia. So experience ya winga ya kulia anakutana nayo tena hapo Brazil.Jana raphinha katunyima ushindi
Hiyo line ya Mwisho umemaliza kibabe sana.Wakuu jana raphinha katunyima brazil ushindi maana yeye ndio alikuwa weak link.
Alafu hawa morocco nilishajua jinsi ya kucheza nao. Kwanza kabisa walazimishe bono apige mipira mirefu kama sio yeye mpira uende kwa yule beki black naee akipiga mipira mingi fyongo. Kipindinchapi brazil walivyofanya hivyo morocco momentum ilikata.
Pili morocco wakipata mpira wa kugombani wanampelekea diaz...huyu unakaanae benet kabisa usimpe nafasi kabisaaa.
Tatu jamaa wakipiga mpira mrefu wakiwa wanatoka hawakabi...chance kama tatu ata goli la brazili limetokana na situation kama hii.
Ila don carlo kwa kweli raphinha kumaliza mechi kazingua ukizingatia hawa majaa wana analysts hapo wana mitambo unashindwaje kuona kuwa jamaa mipira ya 50 50 anapogeza pass anapogeza defending poor. Hili bwana don carlo inabidi awakaripie analyst na assistants wake na pia yeye mwenyewe arudi kwa mtengene,a miwani yake amrekebishie
Kabisa Australia wamechana mikeka ya watu sana.Matokeo ya Australia dhidi ya Uturuki hayakutegemewa. Kumbe huyu bwana mdogo ni mzaliwa wa Kigoma!
View attachment 3607448
Hizi game za Asubuhi leo sijazichekiKuna mtu aliona hili tukio
View attachment 3607578
Turkey Walishindwa kupata hata baoKabisa Australia wamechana mikeka ya watu sana.
Kwangu mimi naona timu za Africa NI Morocco na Senegal ndio watajinasua na Hii stage kidogo na cape Verde wakiwa seriousGhana yupo kwenye kundi la Kifo.
DR Congo njia nyeupe..
Ivory Coast njia nyeupe
Algeria kazi anayo
Senegal kazi anayo
Morocco njia nyeupe japo Scotland ni timu ngumu
South Africa kazi anayo
Egypt njia nyeupe.
Hizo ndio timu zangu
Kwa brazil ya world cup hii, huko nusu fainali nibali sana kwao, hawa nahisi mwisho ni 32 boraBrazil jana imeonyesha hata nusu fainali inaweza isifike kabisa
Hii nchi nilikuwa sijawahi hata kuisikia πππGerman leo saa mbili tu yupo na Curacao
Wataweza kuupasua ukuta wa van pale nyumaKabisa! Tuko excited sana kuwaona Japan...wazee wa strategic football