Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,746
Nimefatilia sana siasa yangu mpaka sasa ila kila siku kupitia ccm tokea kupata uhuru sijajua mpinzani wao ni nani kwenye madaraka yao kila raisi na chama chao wanavojaribu kujivua magamba wakati nyoka ni yule yule.
kabla ajafariki dkt john pombe magufuri, bunge lilikuwa mstari wa mbele kumpa pongezi kwa kupeleka uchumi.
leo yupo samia wanasema mama kawatoa kwenye hali mbaya sasa kawavusha uchumi.
siasa za CCM usishangae mbunge huyo huyo aliyeshika jimbo mda mrefu anajipinga na kujisafisha tena ili mpe tena madaraka.
kabla ajafariki dkt john pombe magufuri, bunge lilikuwa mstari wa mbele kumpa pongezi kwa kupeleka uchumi.
leo yupo samia wanasema mama kawatoa kwenye hali mbaya sasa kawavusha uchumi.
siasa za CCM usishangae mbunge huyo huyo aliyeshika jimbo mda mrefu anajipinga na kujisafisha tena ili mpe tena madaraka.