Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,815
- 40,421
Hata yeye anajua wajinga wengi wanaweka namba zào.Umeandika vizuri ila hili la huruma ya jinsia linafikirisha kidogo,mwisho weka namba ili akumbuke kuna mja huku anampigania kwa hali na mali!
Hata yeye anajua wajinga wengi wanaweka namba zào.Umeandika vizuri ila hili la huruma ya jinsia linafikirisha kidogo,mwisho weka namba ili akumbuke kuna mja huku anampigania kwa hali na mali!
Kweli?!Mapema sana Mama anapita, bila purukushani zozote.
Sababu ya njaa za kijingaKabisa ndugu, kuna mambo wanayafanya kama vile wote TZ ni majuha
Labda apite kwenda ZanzibarMapema sana Mama anapita, bila purukushani zozote.