2024 Jitenge: Somo kwa watiifu

2024 Jitenge: Somo kwa watiifu

Kuepuka nyama ni kipengele kizito sana
Kwa sie wabongo, wa low middle class, hii haituhusu, maana ulaji wetu wa nyama,ni kiduchu Sana,
Hii sheria imetungwa na wazungu kwa mustakabali wao, wao wanapiga nyama, kila siku kwenye kila mlo, sie huku nyama, mnaulizana, hv tumekula lini vile! Nyama ni jumapili tu, au siku kuu!
 
Kwa sie wabongo, wa low middle class, hii haituhusu, maana ulaji wetu wa nyama,ni kiduchu Sana,
Hii sheria imetungwa na wazungu kwa mustakabali wao, wao wanapiga nyama, kila siku kwenye kila mlo, sie huku nyama, mnaulizana, hv tumekula lini vile! Nyama ni jumapili tu, au siku kuu!
Sio kwel huko moshi nyama zinaliwa ovyo tu mpaka mboza za majani zinaonekana anasa.
 
Tunza mwili wako, akili na roho. Jipe muda wa miezi 6 ili uwe na mazoea ya kufanya mazoezi ya kujitunza na kujipenda.

Tumia simu kwa kiwango kidogo sana na kwa mambo muhimu tuu
amka mapema fanya mazoezi oga vaa vizuri hata kama huendi popote,
kula vyakula vya asili, epuka nyama, jisomee majarida na vitabu vyenye kufunza mambo mema
pata siku za mapumziko na mazoezi.
Punguza/acha ngono
Punguza/acha vilevi vyote
Tumia muda mwingi kuwa pekee na sehemu tulivu
Fanya Ibada kwa imani yako

Haya ndiyo maisha yako PEKEE. Fanya unachoweza kupenda na kufurahia kila kipengele chake.hakuna kusubiri zaidi.

Kuwa mtu ambaye umewahi kutamani kutaka kuwa. Hii haitakuwa kama siku zingine, wakati huu utabadilika, utashikamana na mazoea, utazoea na utaona matokeo.

Ninakuamini... Nakuombea..

View attachment 2846759

Sent using Jamii Forums mobile app
'Punguza/acha ngono'... Mkuu hiki kipengele ungelikielezea chenyewe kama somo ama thread yenye kujitegemea.

Kusema juu juu tu 'acha nyama, acha ngono' bila maelezo ya kukazia hautaeleweka sawa sawa hasa kwa watu wanaofuatilia hekima zako.
 
Tunza mwili wako, akili na roho. Jipe muda wa miezi 6 ili uwe na mazoea ya kufanya mazoezi ya kujitunza na kujipenda.

Tumia simu kwa kiwango kidogo sana na kwa mambo muhimu tuu
amka mapema fanya mazoezi oga vaa vizuri hata kama huendi popote,
kula vyakula vya asili, epuka nyama, jisomee majarida na vitabu vyenye kufunza mambo mema
pata siku za mapumziko na mazoezi.
Punguza/acha ngono
Punguza/acha vilevi vyote
Tumia muda mwingi kuwa pekee na sehemu tulivu
Fanya Ibada kwa imani yako

Haya ndiyo maisha yako PEKEE. Fanya unachoweza kupenda na kufurahia kila kipengele chake.hakuna kusubiri zaidi.

Kuwa mtu ambaye umewahi kutamani kutaka kuwa. Hii haitakuwa kama siku zingine, wakati huu utabadilika, utashikamana na mazoea, utazoea na utaona matokeo.

Ninakuamini... Nakuombea..

View attachment 2846759

Sent using Jamii Forums mobile app
✅🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom