Vitumbua 🤒
Dah hawajambo huko daslama🤔😀🤒Deli.
Halafu Kaka Mshana Jr mada nzuri kana hizi, usiwe una ziweka Huku.
Ni Bora thread ya mmu, au hoja mchanganyiko.





nimekupata ngoja niombe ihamishwe
Yaani Kaka uki weka kule🙏🙏, mada Ina enda viral Sana.
Kwa sie wabongo, wa low middle class, hii haituhusu, maana ulaji wetu wa nyama,ni kiduchu Sana,Kuepuka nyama ni kipengele kizito sana
Niko kikazi Gamboshi....huku wazimaDah hawajambo huko daslama🤔😀🤒
Waulize naeza uza vitumbua kwa njia Kama ya watsaap 🤔🤒😃😃Niko kikazi Gamboshi....huku wazima
Sio kwel huko moshi nyama zinaliwa ovyo tu mpaka mboza za majani zinaonekana anasa.Kwa sie wabongo, wa low middle class, hii haituhusu, maana ulaji wetu wa nyama,ni kiduchu Sana,
Hii sheria imetungwa na wazungu kwa mustakabali wao, wao wanapiga nyama, kila siku kwenye kila mlo, sie huku nyama, mnaulizana, hv tumekula lini vile! Nyama ni jumapili tu, au siku kuu!
Usiache ila punguza.. Ngonoka kwa faidaAhsantee ila Dunia hii bila Ngono mhm?!
Bata limewaingiza chaka wengi sana! Manikins sanaSasa Nini maana ya kula Bata
Hapo kwenye kupunguza kwichikwichi![]()
'Punguza/acha ngono'... Mkuu hiki kipengele ungelikielezea chenyewe kama somo ama thread yenye kujitegemea.Tunza mwili wako, akili na roho. Jipe muda wa miezi 6 ili uwe na mazoea ya kufanya mazoezi ya kujitunza na kujipenda.
Tumia simu kwa kiwango kidogo sana na kwa mambo muhimu tuu
amka mapema fanya mazoezi oga vaa vizuri hata kama huendi popote,
kula vyakula vya asili, epuka nyama, jisomee majarida na vitabu vyenye kufunza mambo mema
pata siku za mapumziko na mazoezi.
Punguza/acha ngono
Punguza/acha vilevi vyote
Tumia muda mwingi kuwa pekee na sehemu tulivu
Fanya Ibada kwa imani yako
Haya ndiyo maisha yako PEKEE. Fanya unachoweza kupenda na kufurahia kila kipengele chake.hakuna kusubiri zaidi.
Kuwa mtu ambaye umewahi kutamani kutaka kuwa. Hii haitakuwa kama siku zingine, wakati huu utabadilika, utashikamana na mazoea, utazoea na utaona matokeo.
Ninakuamini... Nakuombea..
View attachment 2846759
Sent using Jamii Forums mobile app
✅🙏🙏🙏Tunza mwili wako, akili na roho. Jipe muda wa miezi 6 ili uwe na mazoea ya kufanya mazoezi ya kujitunza na kujipenda.
Tumia simu kwa kiwango kidogo sana na kwa mambo muhimu tuu
amka mapema fanya mazoezi oga vaa vizuri hata kama huendi popote,
kula vyakula vya asili, epuka nyama, jisomee majarida na vitabu vyenye kufunza mambo mema
pata siku za mapumziko na mazoezi.
Punguza/acha ngono
Punguza/acha vilevi vyote
Tumia muda mwingi kuwa pekee na sehemu tulivu
Fanya Ibada kwa imani yako
Haya ndiyo maisha yako PEKEE. Fanya unachoweza kupenda na kufurahia kila kipengele chake.hakuna kusubiri zaidi.
Kuwa mtu ambaye umewahi kutamani kutaka kuwa. Hii haitakuwa kama siku zingine, wakati huu utabadilika, utashikamana na mazoea, utazoea na utaona matokeo.
Ninakuamini... Nakuombea..
View attachment 2846759
Sent using Jamii Forums mobile app