2021 AFCON Special Thread

Kinachonisikitisha ni kwamba zaidi ya nusu ya timu zote zinazoshiriki ni kutoka Afrika ya Magharibi tu (timu 14). Afrika kaskazini kwa waarabu wao wameambulia timu 6, halafu sehemu nyingine za Afrika zikaambulia timu 4 tu : Ethiopia, Commoro, Malawi na Zimbabwe. Afrika ya Mashariki tunacheza mpira gani?
 
Kama tff ofisi zao zimehamia kwenye ofisi za GSM unatarajia nn? Waulize GSM wao wanajua maana hata idadi ya wachezaji wao Taifa stars wanaijua. Timu wamejaza wacheza Yope tu
 
Kama tff ofisi zao zimehamia kwenye ofisi za GSM unatarajia nn? Waulize GSM wao wanajua maana hata idadi ya wachezaji wao Taifa stars wanaijua. Timu wamejaza wacheza Yope tu
Hii siyo conspiracy tu? Miaka yote hata kabla GSM hawajaingia kusponsor ligi hatujawahi, hatujawahi kufurukuta hata kwenye kombe la Kagame (sijajua kwa nini lilitwa la Kagame).
 
Hii siyo conspiracy tu? Miaka yote hata kabla GSM hawajaingia kusponsor ligi hatujawahi, hatujawahi kufurukuta hata kwenye kombe la Kagame (sijajua kwa nini lilitwa la Kagame).
Kulikuwa na mwanga kwani hata Utopolo waliweza kupeleka Stars wachezaji wenye ushindani mfano Metacha,Kabwili,Nchimbi n.k. ila saizi wapo watatu tu na wenyewe ni hopeless tu kwani kwao Mayele, Aucho na Makambo ndio wachezaji wao na kutoa hela media kumsema Kibu Denis. Hata tukimsifia vipi Mayele na wakata viuno wa kongo hawana faida. Narudia tena Kibu apewe hamasa zaidi kwa faida ya Taifa Stars
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…