2020 Wafanyakazi sector Binafsi tusali

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,188
11,219
Ndugu zangu kama hujuwi kufa kachungulie kaburi. Huyu mkuu wa taifa ameamua maamuzi mazito na maamuzi nikujenga madaraja marefu na mamiradi makubwa yasio zingatia pato la taifa kinachofuwata ni kitu kibaya sana kwa sisi wachumi.

Ikumbukwe karibia nusu ya makusanyo analipa mishahara ya wafanyakazi na mbaya kuliko yote sisi nitegemezi. Kuna kila sura na picha mataifa ya nje yakabana fund wakati tunaenda kwenye uchaguzi kutokana na kile kimetokea serikali y amitaa.

Sasa sector nyingi huwenda zikakumbana na ukata mkubwa sana. Kiasi kupunguza watu mfano makampuni yanayo Tegemea soko la ndani yatashindwa kuzalisha kwa wingi maana watu hawana pesa kununua jambo litawafanya punguza watu.

Sector ya fedha ndio kabisa imeuwawa mchezo wakuangalia akaunti za watu umefanya watu kutoipenda bank nakuleta shida kubwa kwa mabank. Mbaya kuliko yote ni hali yawateja ktk mabank yabiashara inatisha sana. Haijawahi tokea.
Pia tukumbuke serikali na sera yake ya kuwa na single account ambapo kila kinacho okotezwa kinatupiwa BOt yani bank za biashara hazina kitu same unataka watu wakopeshwe je watakopeshwaje mikopo nafuu.
Kushuka kwa riba za mikopo sio kwamba ni hali nzuri ya kifedha bali ni kushuka kwa uhitaji wa mikopo jambo sio la afya ktk sector ya fedha.

Maamuzi magumu hayanabudi kufanyika kuokoa sector ya fedha na uchumi

Kiukweli miradi hii itatupa hali ngumu sana
Ishi kwa akili.

Nilitabiri mwaka jana before corona virus.
 
Noma kweli mkuu,tupigeni magoti kusali au tumpelekee mganga kuku na udi,niaje ni vepeee 2020?
 
Unaonekana huna taaluma ya uendeshwaji wa mabenki umekurupuka kuja kuandika kitu usichokielewa.
Ndugu zangu kama hujuwi kufa kachungulie kaburi. Huyu mkuu wa taifa ameamua maamuzi mazito na maamuzi nikujenga madaraja marefu na mamiradi makubwa yasio zingatia pato la taifa kinachofuwata ni kitu kibaya sana kwa sisi wachumi.

Ikumbukwe karibia nusu ya makusanyo analipa mishahara ya wafanyakazi na mbaya kuliko yote sisi nitegemezi. Kuna kila sura na picha mataifa ya nje yakabana fund wakati tunaenda kwenye uchaguzi kutokana na kile kimetokea serikali y amitaa.

Sasa sector nyingi huwenda zikakumbana na ukata mkubwa sana. Kiasi kupunguza watu mfano makampuni yanayo Tegemea soko la ndani yatashindwa kuzalisha kwa wingi maana watu hawana pesa kununua jambo litawafanya punguza watu.

Sector ya fedha ndio kabisa imeuwawa mchezo wakuangalia akaunti za watu umefanya watu kutoipenda bank nakuleta shida kubwa kwa mabank. Mbaya kuliko yote ni hali yawateja ktk mabank yabiashara inatisha sana. Haijawahi tokea.
Pia tukumbuke serikali na sera yake ya kuwa na sungle account ambapo kila kinacho okotezwa kinatupiwa BOt yani bank za biashara hazina kitu same unataka watu wakopeshwe je watakopeshwaje mikopo nafuu.
Kushuka kwa riba za mikopo sio kwamba ni hali nzuri ya kifedha bali ni kushuka kwa uhitaji wa mikopo jambo sio la afya ktk sector ya fedha.

Maamuzi magumu yanabudi kufanyika kuokoa sector ya fedha.

Kiukweli miradi hii itatupa hali ngumu sana
Ishi kwa akili.
 
Ila kwakweli miradi mikubwa jamaa anaizindua kila siku, halafu anajinasibu tunatumia pesa zetu za ndani, hivi hizo pesa za ndani wanazitoa wapi, kama kwenye kulipa kodi mbona biashara zinafungwa kila siku sababu wanunuzi hawana pesa mifukoni, sasa hii kodi tunayoambiwa na TRA kila mwezi imeongezeka inatoka wapi?

Binafsi naona bora waseme tu ukweli, tunakopa toka sehemu tofauti kwa ajili ya kuendeleza hiyo miradi, na kwanini tunajenga vipya vya gharama kila siku wakati hali yetu ya uchumi hairuhusu, si bora ujenge kwa mpangilio, kimoja baada ya kingine, hata Roma haikujengwa kwa siku moja, mnawaumiza wenye vipato vya chini, mishahara hampandishi mwaka wa nne watu wanateseka tu.
 
Ninyi 'wazalendo' mlituletea 'bwana Haambiliki' 2015 ndio mumuondoe hiyo 2020 na kumleta 'bwana niguse ninuke' au mwingine yeyote hata kutoka CDM labda ataweza kuokoa nchi. Wengine wenye roho nyepesi tutunze dolar majumbani na kuweka sawa passport zetu, maji yakizidi unga tukimbie nchi tukatafute hifadhi huko duniani.
 
Ndugu zangu kama hujuwi kufa kachungulie kaburi. Huyu mkuu wa taifa ameamua maamuzi mazito na maamuzi nikujenga madaraja marefu na mamiradi makubwa yasio zingatia pato la taifa kinachofuwata ni kitu kibaya sana kwa sisi wachumi.

Ikumbukwe karibia nusu ya makusanyo analipa mishahara ya wafanyakazi na mbaya kuliko yote sisi nitegemezi. Kuna kila sura na picha mataifa ya nje yakabana fund wakati tunaenda kwenye uchaguzi kutokana na kile kimetokea serikali y amitaa.

Sasa sector nyingi huwenda zikakumbana na ukata mkubwa sana. Kiasi kupunguza watu mfano makampuni yanayo Tegemea soko la ndani yatashindwa kuzalisha kwa wingi maana watu hawana pesa kununua jambo litawafanya punguza watu.

Sector ya fedha ndio kabisa imeuwawa mchezo wakuangalia akaunti za watu umefanya watu kutoipenda bank nakuleta shida kubwa kwa mabank. Mbaya kuliko yote ni hali yawateja ktk mabank yabiashara inatisha sana. Haijawahi tokea.
Pia tukumbuke serikali na sera yake ya kuwa na sungle account ambapo kila kinacho okotezwa kinatupiwa BOt yani bank za biashara hazina kitu same unataka watu wakopeshwe je watakopeshwaje mikopo nafuu.
Kushuka kwa riba za mikopo sio kwamba ni hali nzuri ya kifedha bali ni kushuka kwa uhitaji wa mikopo jambo sio la afya ktk sector ya fedha.

Maamuzi magumu yanabudi kufanyika kuokoa sector ya fedha.

Kiukweli miradi hii itatupa hali ngumu sana
Ishi kwa akili.
Namuina TumainEl mpya, tofauti na yule wa enzi za Saa8, laiti wengi wangeungama kama wewe, Leo nimeanza kumuombea KaweJunction pia atubu
 
Back
Top Bottom