T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 13,807
- 46,737
Utaratibu wa kupata uwezo kwa kwenda mambele kubeba maboksi lazima nihakikishe nautimiza. Siwezi kufa kizembe hapa nyumbani, uzalendo sio chanzo cha kunilazimisha kuwa maskini. Naipenda nchi yangu lakini kama haiwezi kunipa mwanga lazima niikatae kwa muda, nikirudi nije na uwezo wa kulipa kodi zao hizi