IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,751
- 7,124
As long as yupo kwa jiwe asepe nae tuAiweke iwekee, aiwekee.![]()
![]()
Msimsahau mama samia jamani,yule mama mtu poa sana.
As long as yupo kwa jiwe asepe nae tuAiweke iwekee, aiwekee.![]()
![]()
Msimsahau mama samia jamani,yule mama mtu poa sana.
Hivi mkuu tokea awamu hii ianze ushawahi sikia huyu mama akiropoka ama kutoa maneno ya shombo,mama wa watu mstaarabu sana,hana ng'wang'walu kabisa.As long as yupo kwa jiwe asepe nae tu
Zigo lenu hilo wala Chadema haihusiki, ndiyo tatizo kila mkiharibu mnaisingizia Chadema. Mkishindwa kutia wake zenu mimba mnaisingizia Chadema. Mafisiem yanaruka na kukanyagana hadi raha.Chadema wamepagawa na Membe!!
CCM haidhihakiwi mjur
Aiseee hii weekend naiona sio poa kabisa kwa StoneNaona mmeamua kumtibua jiwe.
Ahahahahhahaha ako kaneno sawa na kale kwa nyimbo ya Mond au?Hivi mkuu tokea awamu hii ianze ushawahi sikia huyu mama akiropoka ama kutoa maneno ya shombo,mama wa watu mstaarabu sana,hana ng'wang'walu kabisa.
Hakuna kutibuana, ukiwa na nia mbaya na wenzio ndio utaona wanakutibua, hapa kila mtu ana haki yake ya kikatiba.Naona mmeamua kumtibua jiwe.
Hii comment inabidi iwe titleCamillius For President.....Operation ondoa jiwe nchi ipone.
huyo mama apelekwe Zanzibar itapendez zaidiAiweke iwekee, aiwekee.![]()
![]()
Msimsahau mama samia jamani,yule mama mtu poa sana.
Aggy milips kumekuchaMembe....membe membeeee
Haaaahaha
Mungu mlinde wasije mfanyia ubaya
Maana hawakawii
Ng'wang"walu = Maneno maneno,roporopo.Ahahahahhahaha ako kaneno sawa na kale kwa nyimbo ya Mond au?
Hatuna shida nae ila bashite aanze kutafuta hifadhi mataifa jirani.Aiweke iwekee, aiwekee.![]()
![]()
Msimsahau mama samia jamani,yule mama mtu poa sana.
AAAA WAPI MCHEZO WA KITOTO HUONaona mmeamua kumtibua jiwe.