Ndio katiba inavyokuambia hivyo??????????Mumeanza mambo yenu
Siasa mpaka 2020
Mbona hamuelewi?
Ndio katiba inavyokuambia hivyo??????????Mumeanza mambo yenu
Siasa mpaka 2020
Mbona hamuelewi?
Adui namba 1,2 na 3!Ni wazi Magu amegeuka adui wa Taifa!
Mmesahau hizi mbwembwe wakati wa MAMVI?
Bashite tunampeleka akawe mwambata,Allepo,mogadishu,au Sanaa Yemen,hata kama hatuna ubalozi huko.sie wanadiplomasia wabobezi hata tukikuadhibu tunakuadhibu kidiplomatiki.
Basi tutakupa weweMakamba sidhani kama anatosha kwenye hyo Post Yenu mnayompa
Mkuu mama Samia tunamuheshimu na kumpenda ila kwa hili atupishe nchi ipone kwanzaHakuna namna twende kazi.
View attachment 952875View attachment 952876View attachment 952877
Sky Eclat GUI1
Wapiga dili hawaamini kinachotokea. Wanajaribu kutafuta wapiga dili wenzao ili wakae na mambo yawe business as usualKila mtu apewe haki yake ya kikatiba kwenye chama chake.
View attachment 952850View attachment 952851
Sky Eclat
Kwahiyo Chadema mzee Lowassa hamumtaki tena!Hakuna namna twende kazi.
View attachment 952875View attachment 952876View attachment 952877
Sky Eclat GUI1
Tuondoleeni upuuzi hapa muda wa kampeni upi? Mbona magufuli anapigia kampeni CCM kila siku majukwaani tangu 2015 au wewe kipofu huoni?Kwani Muda Wa Kampeni umeshatangazwa na Tume ya Uchaguzi? Au sheria za Nchi hamzijui
Ni kosa ni sawa na Kutaka KuMpindua Raisi
Nani chadema wewe au sisiKwahiyo Chadema mzee Lowassa hamumtaki tena!
Mpiga dili ni weweWapiga dili hawaamini kinachotokea. Wanajaribu kutafuta wapiga dili wenzao ili wakae na mambo yawe business as usual
Kichaa at work.Kila mtu apewe haki yake ya kikatiba kwenye chama chake.
View attachment 952850View attachment 952851
Sky Eclat
Eti ondoa jiweHakuna namna twende kazi.
View attachment 952875View attachment 952876View attachment 952877
Sky Eclat GUI1
bado 7yr tulia hvyo hvyo dawa ikuingieChadrama mcharuko kwishney wamepewa visenti vya bundle!Kwahiyo Chadema mzee Lowassa hamumtaki tena!