2020 twende na Membe ama January Makamba?

2020 twende na Membe ama January Makamba?

Katiba ya Nchi inasema miaka 5 tu.
 
Kwahiyo Chadema mzee Lowassa hamumtaki tena!
Alokwambia CDM wanamtaka Membe ni nani??? Wanaomtaka BM ni wa hukohuko kwenu...... Yaan mchama wenu umeshaparanganyika paranganyika.....

CDM tupo kimya....... Tunasubiri mtifuane sisi tuje tuokote nchi kilaini.
 
Membe ni President material kabisa atatufaa sana
 
1D42A749-220E-4C3D-8A83-8664004C7BFC.jpeg
 
Mpiga dili ni wewe
Wapiga dili jpm kawaminya korodani vibaya sana mpaka watafuta pa kutokea. Wanabaki kutaka watu calibre ya JK ili mambo yawe kama zamani. Akitoka JPM tunaweka majaliwa au makonda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom