Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
Wengi wanakuwa na ile monthly plan.Nafikiri ndio wanataka hiyo. Japo kwa dears nafikiri wanakubali ku trade in gari la zamani unaongeza pesa unapata jipya.
Kwahiyo unatumia gari kwa bei ya chini.
Sent using Jamii Forums mobile app