2019 Africa Cup of Nations Special Thread

N
Azam TV siku hizi ndo television ya taifa cjui wasingekuwepo tungeweka wapi nyuso zetu.
Ninavyoelewa mimi azam tv ni pay tv na ilihali inatakiwa televisheni ya taifa ionyeshe mashindano hayo angalia south afrika dstv wanaonyesha lakini televisheni yao ya taifa Sabc inaonyesha vilevile kenya na uganda tbc1 inakwama wapi
 


Zimbabwe upbeat ahead of first match in the Africa Cup of Nations against hosts Egypt
 
Cairo Stadium

Egypt vs Zimbabwe

1133774
 
Hakika Jambo la kustaajabisha sijui tunakwama wap kama nchi,uyu mwakyembe rioba mnafanya nin ofisn,kikwete tutakumic sana sekta hi ulikuwa unaweza ila Hawa ovyo
 
Back
Top Bottom