Huyu Mimi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2019
- 2,573
- 2,091
Hata Mim nimeshangaa Itakua KakoseaUganda dhidi ya Uganda.
Hata Mim nimeshangaa Itakua KakoseaUganda dhidi ya Uganda.
Ninavyoelewa mimi azam tv ni pay tv na ilihali inatakiwa televisheni ya taifa ionyeshe mashindano hayo angalia south afrika dstv wanaonyesha lakini televisheni yao ya taifa Sabc inaonyesha vilevile kenya na uganda tbc1 inakwama wapiAzam TV siku hizi ndo television ya taifa cjui wasingekuwepo tungeweka wapi nyuso zetu.
Hadi hapo Stars tushatinga 16 boraPlus best loosers yaani mshindi wa tatu mzuri kutoka makundi manne.
Kwa maana hiyo ni kwamba kuna makundi yatatoa timu 3 na mengine 2
Unafikiri ni zamu kama ya chibuku sio?Tunabeba
Ni zamu yetu
Hapana mkuu ni ishara, ari Na dalili za mafanikioUnafikiri ni zamu kama ya chibuku sio?
Fasta tu mkuuHadi hapo Stars tushatinga 16 bora
Duh kweli maumivuHata ukiipata wataitoa hao jamaa! Nta sports ya nigeria wanaonyesha ila startimes baada ya kugundua ilo nayo wameitoa! Sisi tim mchina tuandike tu maumivu mkuu 😢
N
Ninavyoelewa mimi azam tv ni pay tv na ilihali inatakiwa televisheni ya taifa ionyeshe mashindano hayo angalia south afrika dstv wanaonyesha lakini televisheni yao ya taifa Sabc inaonyesha vilevile kenya na uganda tbc1 inakwama wapi