Subiri kwanza....TZ wanakuambia changia Taifa stars ishinde. Pesa tunachanga lakini mpira tuuangalia kwa channel za Kenya. Uganda. Dubai na South Africa. Si Bora tuchangie harambe stars au bafana bafana.
Ngoja kesho nikiwa hom niisach tena kwene startimes yangu ya antena mana nilikua siioni kwene listUBC inapatikana kwenye visimbusi vyote unavyovijua wewe
AKili za ki CCM ....wacha tuhame nchi..Utv
Channel mpya ya Azam itaonyesha live
TZ wanakuambia changia Taifa stars ishinde. Pesa tunachanga lakini mpira tuuangalia kwa channel za Kenya. Uganda. Dubai na South Africa. Si Bora tuchangie harambe stars au bafana bafana.
TutashindA... Fedha tunayo... TUKO PAZUURI.!Waache dharau, hiyo Stars imshinde nani..!! Wameona Yanga imepiga hela nao wameanza kuombaomba, zetu mechi 3 tu.... ratiba inaisha.
good brainTZ wanakuambia changia Taifa stars ishinde. Pesa tunachanga lakini mpira tuuangalia kwa channel za Kenya. Uganda. Dubai na South Africa. Si Bora tuchangie harambe stars au bafana bafana.
Huku TBC ikiendelea kurusha mikutano ya ccm !Wazalendo wa Uganda wametuokoa..
UBC is a free channel..
Wacha si tuendelee kujenga NCHI.
Kwenye startimes haipoNgoja kesho nikiwa hom niisach tena kwene startimes yangu ya antena mana nilikua siioni kwene list
Hiyo habari ya movie zilizotafsiriwa usije ukaiongea mbele ya wanawake wa kiswahili. Ukiwanyima hizo asubihi kama hii ukiomba mzigo utaambiwa....kichwa au tumbo linaniumaazam tv ni makenge kwa tulonunua dish zao nje na tanzania hicho ki utv hakioneshi sijui wanadhani kila mtu anapenda hayo movie yao wanayotafsiri kwa kiswahili??
shwain
UTV itakuwa live from Azam TV pia hiyo UBC ipo kwenye Azam TV itakuwa ni chaguo la mtazamajiWazalendo wa Uganda wametuokoa..
UBC is a free channel..
Wacha si tuendelee kujenga NCHI.
Haipo mkuu usipoteze muda kusarchKwenye startimes haipo
Haipo mkuu usipoteze muda kusarch
Azam hawaonyeshi matcha zote,hata ya ufunguzi tuu hawaonyeshi.Sawa Mkuu sie tutakomaa na UTV HD 1080p nyie komaeni na 240p UBC.