2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Morris mtero mwingi
Kesy ndyo fauro za kutosha

Fei toto nae apawezi kabisa pale katikati
 
Maadam Spika Ndugai yupo huko basi kufungwa ni lazima.....
 
Kwenye mpira lolote laweza kutokea

Tutaweza kushinda, kutoa draw au tukafungwa kamoja tu.

Timu yetu si mbaya wakuu.
 
Ukweli ni kuwa tuko chini mno kisoka kwa Senegal. Katika viwango vya FIFA, wapinzani wetu(Senegal) ni timu bora(23) kuliko timu zote. Tanzania ndio dhaifu(131) tukiwashinda Burundi(136) tu. Lazima tunacheza na miamba ya soka Afrika. Nitakuwa naangalia mbinu,umiliki wa mpira,nidhamu ya mchezo kuliko matokeo. Tuipende Timu yetu.
 
1. Manula
2. Kessy
3. Gadiel
4. Nyoni
5. Yondani
6. Mao
7. Msuva
8. Mdathri
9. Bocco
10. Mbwana (C)
11. Ulimwengu
SUB: Tinoko, Zimbwe, Fei toto, Zayd, Farid, Mwantika, Domayo
 
Back
Top Bottom