2016 US Elections - Exlusive discussion thread

2016 US Elections - Exlusive discussion thread

Barbra Streisand
The iconic singer may be headed down under.
Streisand told "60 Minutes" in Australia that she was worried about the election results.
"I'm either coming to your country, if you'll let me in, or Canada," she said.

Hahaaaa hao celebs wanasema tu.

Nina uhakika hata kama Trump akishinda hakuna atakayehama maana hawajaanza leo kutishia nyau.

Hata 2004 baadhi yao walitishia hivyo kama W angeshinda na akashinda na hakuna aliyehama.

Yaani mtu uhame US kisa Trump ndo kawa rais?

Ngumu sana hiyo aisee....wanapenda kuongea tu hao.
 
Washukuru Mungu kwamba Trump haingii Ikulu leo na hakuna wa kumlaumu ila yeye mwenyewe. Sidhani kama atarudi tena 2020 kupambana tena na Hillary.

Hahaaaa hao celebs wanasema tu.

Nina uhakika hata kama Trump akishinda hakuna atakayehama maana hawajaanza leo kutishia nyau.

Hata 2004 baadhi yao walitishia hivyo kama W angeshinda na akashinda na hakuna aliyehama.

Yaani mtu uhame US kisa Trump ndo kawa rais?

Ngumu sana hiyo aisee....wanapenda kuongea tu hao.
 
Washukuru Mungu kwamba Trump haingii Ikulu leo na hakuna wa kumlaumu ila yeye mwenyewe. Sidhani kama atarudi tena 2020 kupambana tena na Hillary.

Vyovyote vile hakuna atakayehama Marekani kisa rais aliyepo White House si yule aliyemuunga mkono.

Trump akishinda hakuna anayehama nchi.

Wanasema tu hao.

Btw, Hillary ni one term president, if she even makes it to 2020.
 
Republicans waliserma hivyo hivyo kuhusu BO kwamba ni one term president wakampinga kwenye kila kitu lakini wapiga kura wakamrudisha tena WH 2012. Usishangae kuona Hillary anaendelea kuwemo ndani ya WH mpaka 2024. GOP inabidi wajitathmini jinsi siasa zao za obstructions hata kwenye mambo ambayo yana maslahi makubwa kwa US na dunia zinavyowakosesha kura nyingi sana na pia kujiweka mbali na minorities. Marekani ya 2016 si ile ya 1988. Inabidi wabadilike tena wabadilike haraka sana.

Vyovyote vile hakuna atakayehama Marekani kisa rais aliyepo White House si yule aliyemuunga mkono.

Trump akishinda hakuna anayehama nchi.

Wanasema tu hao.

Btw, Hillary ni one term president, if she even makes it to 2020.
 
Republicans waliserma hivyo hivyo kuhusu BO kwamba ni one term president wakampinga kwenye kila kitu lakini wapiga kura wakamrudisha tena WH 2012. Usishangae kuona Hillary anaendelea kuwemo ndani ya WH mpaka 2024. GOP inabidi wajitathmini jinsi siasa zao za obstructions hata kwenye mambo ambayo yana maslahi makubwa kwa US na dunia zinavyowakosesha kura nyingi sana na pia kujiweka mbali na minorities. Marekani ya 2016 si ile ya 1988. Inabidi wabadilike tena wabadilike haraka sana.

Hillary si Obama.

Huu mwaka ashukuru tu mpinzani wake ni Trump la sivyo leo angechezea kichapo kitakatifu.

Hillary ni one term na nipo tayari ku bet dola 10,000.

Marekani haiwezi kuchagua chama kimoja kitawale kwa miaka 16.

Naweka dau la dola 10,000 hapa...aliye tayari anifahamishe.

Ila bottom line, hata ikitokea Trump anashinda hakuna atakayehama.

Hilo nalo naliwekea dau vilevile.

Hahami mtu nchi hii kisa rais ni Trump.

Hahami mtu.
 
Ingekuwa Hillary si Obama GOP wangekuwa tayari kukaa naye chini na kufanya naye kazi badala ya kuwa chama cha kupinga kila kitu ambacho Obama na Serikali yake walikipendekeza. Hapo kwenye rangi usishangae kama uchumi unafanya vizuri na asilimia kubwa ya wapiga kura wanafurahia Serikali ya Hillary kati ya 2017 na uchaguzi ujao wa 2020 wakamrudisha tena WH.

Wewe unasemeka kipindi kile cha Marekani ya weupe hii ni Marekani ambayo imebadilika mno kutokana na wahamiaji wa kutoka kila kona ya dunia. GOP kazi yao kubwa itakuwa ni kumkwamisha Hillary na sera zake zote kwa kila namna halafu 2020 watasema mnamuona huyu hakufanya lolote utendaji wake ni mbovu hastahili tena kura zenu. Kama hakuna sababu za kumuondoa Hillary WH 2020 basi wapiga kura hawatamuondoa atafuata nyayo za Mumewe na za BO za kupiga awamu mbili.

Hillary si Obama.

Huu mwaka ashukuru tu mpinzani wake ni Trump la sivyo leo angechezea kichapo kitakatifu.

Hillary ni one term na nipo tayari ku bet dola 10,000.

Marekani haiwezi kuchagua chama kimoja kitawale kwa miaka 16.

Naweka dau la dola 10,000 hapa...aliye tayari anifahamishe.

Ila bottom line, hata ikitokea Trump anashinda hakuna atakayehama.

Hilo nalo naliwekea dau vilevile.

Hahami mtu nchi hii kisa rais ni Trump.

Hahami mtu.
 
Ingekuwa Hillary si Obama GOP wangekuwa tayari kukaa naye chini na kufanya naye kazi badala ya kuwa chama cha kupinga kila kitu ambacho Obama na Serikali yake walikipendekeza. Hapo kwenye rangi usishangae kama uchumi unafanya vizuri na asilimia kubwa ya wapiga kura wanafurahia Serikali ya Hillary kati ya 2017 na uchaguzi ujao wa 2020 wakamrudisha tena WH.

Wewe unasemeka kipindi kile cha Marekani ya weupe hii ni Marekani ambayo imebadilika mno kutokana na wahamiaji wa kutoka kila kona ya dunia. GOP kazi yao kubwa itakuwa ni kumkwamisha Hillary na sera zake zote kwa kila namna halafu 2020 watasema mnamuona huyu hakufanya lolote utendaji wake ni mbovu hastahili tena kura zenu. Kama hakuna sababu za kumuondoa Hillary WH 2020 basi wapiga kura hawatamuondoa atafuata nyayo za Mumewe na za BO za kupiga awamu mbili.
Dau langu bado lipo palepale.

Hillary ni one termer [that is kama akishinda....I don't want to get ahead of myself here].

Na Marekani haitachagua chama kimoja kwa miaka 16 mfululizo. Haipo hiyo.

Mwaka huu wenyewe Dems wamekuwa lucky tu vile wamepata mpinzani mtambo .

Aliye tayari kuweka dau la 2020 twende kazi......
 
Dau lako peleka casino mie nakwambia ukweli kama Hillary anafanya vizuri na wanafurahia uongozi wake basi hawezi kuondolewa WH na wapiga kura eti kwa sababu tu haijawahi kutokea Marais wa chama kimoja kukaa WH kwa awamu nne mfululizo. Kama anavurunda basi wana kila sababu ya kumuondoa. Bahati ya mwenzako usiilalie mlango wazi. We si Mungu banaa kupinga hilo la Chama kimoja kukaa WH kwa miaka 16.

Dau langu bado lipo palepale.

Hillary ni one termer [that is kama akishinda....I don't want to get ahead of myself here].

Na Marekani haitachagua chama kimoja kwa miaka 16 mfululizo. Haipo hiyo.

Mwaka huu wenyewe Dems wamekuwa lucky tu vile wamepata mpinzani mtambo .

Aliye tayari kuweka dau la 2020 twende kazi......
 
Dau lako peleka casino mie nakwambia ukweli kama Hillary anafanya vizuri na wanafurahia uongozi wake basi hawezi kuondolewa WH na wapiga kura eti kwa sababu tu haijawahi kutokea Marais wa chama kimoja kukaa WH kwa awamu nne mfululizo. Kama anavurunda basi wana kila sababu ya kumuondoa. Bahati ya mwenzako usiilalie mlango wazi. We si Mungu banaa kupinga hilo la Chama kimoja kukaa WH kwa miaka 16.

Too emotional like always.

Deuces.
 
Hahahahaha lol! ungeniona hapa naandika huku natabasamu. You don't me Nyani stop pretending.

You are right.

I don't know who you are and never have I claimed to.

Or have I?

So what is it that I'm pretending? Pray tell....
 
 

Attachments

  • 1478664780245.jpg
    1478664780245.jpg
    25 KB · Views: 55
Uchaguzi wa Marekani umefikia wapi ndugu zangu..?
Nani anaongoza..!?
Mimi napenda sana Trump ashinde..!

Mpaka sasa Donald Trump ana kura 194 na Hillary Clinton kura 209

Lakini Donald Trump ameshinda jimbo muhimu la North Carolina ambalo Baraka Obama na maraisi wote walowahi kushinda Uchaguzi nchini marekani walikwenda kuwa maraisi.

Pia chama cha Republican kimeshinda zaidi ya nusu ya viti vyote katika bunge la Marekani, hivyo kitatawala bunge la nchi hiyo.

Bado kura zinahesabiwa na zinahitajika jumla kura 270 ili kuwa raisi.
 
Trump anahitaji electoral votes 26 pekee kushinda.

Mpaka sasa Democrats watakuwa minority kwenye senate na house of representatives
 
Back
Top Bottom