kui
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 6,467
- 6,500
I see the former President, current President, and the soon to be President. 🙂
The formidable team to block Trump from the WH.
You can't find this diverse in GOP. NEVER!
I don't think he gave enough thought to his statements before he wrote them.Really?
Ben Carson...Carly Fiorina...Ted Cruz...Marco Rubio...Donald Trump....
Hiyo siyo diversity?
Au unazungumzia diversity ipi labda?
I mean...what is diversity?I don't think he gave enough thought to his statements before he wrote them.
I mean...what is diversity?
All those I mentioned don't reflect diversity?
I'm baffled!!!
Those names do reflect diversity sir.You can't find this diverse in GOP. NEVER!
Mistari ya wapiga kura katika vitongoji mbali mbali ni mirefu mno. Natumai hakuna atakayezuiliwa kupiga kura kwa sababu muda wa kupiga kura umekwisha. Sheria inasema ukiwa kwenye mstari kabla ya saa ya mwisho kupiga kura kufika basi utaruhusiwa kupiga kura hata kama ni masaa mawili baada ya saa za kupiga kura kwisha.
Hahaaa!, Umenikumbusha kuna mtu alitoa tahadhari kwa wanaosema eti jamaa akishinda watahamia Canada, and he was like, you talkin' bout Canada?!, if he wins he's going to have access to Nukes, so no where will be safe" 🙂