2016 US Elections - Exlusive discussion thread

2016 US Elections - Exlusive discussion thread

Very good strategy, there is a possibility to take back both the senate and congress. GO! Hillary GO!

I know right!, not him.
Halafu Hillary campaign ndo kwanza wanakuwa fired up na kutaka kutoboa zaidi, nimeona they're going after red states sasa with full force.
 
Very good strategy, there is a possibility to take back both the senate and congress. GO! Hillary GO!

Ila Trump nadhani ni mgonjwa! Umemsikia mwanamke aliyekutana nae club alivyokuwa anaelezea ilivyokuwa? Alikuwa amevaa skirt, Trump akazamisha mkono, akamshika vajayjay juu ya kufuli yake!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nimeona Mkuu nimeshangaa sana. Jamaa sijui alikuwa anajiamini kipi hadi kuwadhalilisha wanawake kiasi hiki!!!





Ila Trump nadhani ni mgonjwa! Umemsikia mwanamke aliyekutana nae club alivyokuwa anaelezea ilivyokuwa? Alikuwa amevaa skirt, Trump akazamisha mkono, akamshika vajayjay juu ya kufuli yake!
 
Ila Trump nadhani ni mgonjwa! Umemsikia mwanamke aliyekutana nae club alivyokuwa anaelezea ilivyokuwa? Alikuwa amevaa skirt, Trump akazamisha mkono, akamshika vajayjay juu ya kufuli yake!
Trump train
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Like father like son.

Trump Jr.: Women Who 'Can't Handle' Harassment Should Teach Kindergarten

In a 2013 radio interview on the "The Opie and Anthony Show" surfaced by Buzzfeed Newson Thursday, Donald Trump Jr. complains about women making charges of sexual harassment in the workplace, suggesting that women who have a trouble with men making certain comments should go teach kindergarten...

Trump Jr. then said, "I’m of that mindset — and I’ll get into trouble, I’m sure — I’ve been on this show enough, I’m sure I’ll get myself in trouble one of these days — but like, if you can’t handle some of the basic stuff that’s become a problem in the workforce today, like you don’t belong in the workforce. Like, you should go maybe teach kindergarten. I think it’s a respectable position."..
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Looks like evangelicals are sticking with the Donald. 🙂

AAiSjtq.jpg
 
Ndiyo matatizo ya kuwa na madudu chungu nzima halafu unataka kugombea kuingia WH, lazima madudu ya miaka chungu nzima yaibuliwe. Angejikalia pembeni kula bata zake haya yote yangebaki chini ya carpet.

Precisely my sentiments.

Lakini huu uchaguzi GOP wasiuchukulie vibaya [naamini watashindwa tu hiyo Novemba 8].

Wauchukulie kama 'teachable moment'. Baada ya uchaguzi itabidi wakae chini wajifanyie tathmini na tafakuri ya wapi walipokosea hadi wakapata mgombea mbovu kiasi hivi.

Ni muda muafaka sasa wa kuangalia upya vigezo na masharti ya kupata mgombea.

Ni vyema kabla ya mtu hata kuchukua nomination forms kufanyiwa vetting kali sana ili kuepusha majanga mbeleni.

Waweke vigezo fulani vikali ambavyo watangaza nia itabidi wavikidhi kabla ya kukubaliwa rasmi.

Hata Dems nao wana la kujifunza kutokana na hii kashfa ya Trump ili nao siku mmoja wasije kujikuta wamepata mgombea kichaa.

Kwa mfano, kama mtu hayuko tayari kuonyesha tax returns zake kabla hata primaries hazijaanza, hiyo iwe disqualification.

Kama mtu ana mi sexual allegations kibao nayo iwe ni disqualification.

Ni lazima vyama viwe na vetting process kali sana ili walau kujipa fursa ya kutokuja kupata mtu kichaa kama Trump.

Minong'ono ya Trump kugombea ilianza zamani. Lakini mimi sikuwa naamini hata kidogo kwamba angeweza kufika mbali namna hii kwa sababu sijawahi kabisa kumwona akiwa serious.

Ila ndo hivyo tena, keshafika hapo alipo na bado anayo nafasi ya kushinda [ingawa binafsi sidhani kama atashinda...ila anything can happen].
 
Tatizo la ma-GOP ni kwamba, wale unaodhani kuwa hawana scandals ndio walionazo! Akina Gingrich alivyokuwa anamkomalia Bill Clinton kipindi kile utadhani yeye alikuwa malaika, kumbe duu!
 
A 9th accuser just came out! Trump grabbed her and went for the lips! This happened in 1997.
 
Ndugu yangu platozoom, kweli unaamini huyo mropokaji na mkurupukaji anaweza kuukwaa Urais wa Marekani? The US Voters aren't that dumb and you can take that to the bank!
Pamoja na kuropoka kwake tulimuona akipenya GOP!!! Maajabu. Nyakati zile tukidhani Rep watafanya jambo asipate.
 
platozoom, kumbuka kwenye primary mtu yeyote anaweza kupiga kura hata wasio wanachama. Yawezekana waliokuwa wanampigia kura hawakuwa hata GOP ila walitaka apite wapate mteremko.

Hata huko kwa DEMS mambo yalikuwa hayo hayo. Wengi waliompigia Sanders hawakuwa wanachama. Bahati nzuri au mbaya viongozi wa DEMS walikuwa wajanja.
 
Back
Top Bottom