2016 US Elections - Exlusive discussion thread

Teh teh teh...that is called spin.

Truth of the matter is he trashed it.

There is no love lost between the Clintons and the Obamas.

Of course these politicians are masters at being two faced
 
The Wikileaks issue is Hillary's weakness. Though Trump is not saying anything factual he is giving the impression of doing well and recovering from the initial wobble at the beginning
 
Trump avyotembea tembea hapo utadhan bondia anajiandaa kuingia ulingoni
 
Nadhani anasema hivyo kwa sababu FBI wameshatoa kauli ya kuituhumu Russia kuhusu kutaka kuvuruga uchaguzi wa US.

Huyu mama hajichanganyi hapa juu ya Russia? Naona anatuhumu waziwaz Russia?
 
Of course these politicians are masters at being two faced

Hypocrisy is not forbidden in politics.

Most of them [politicians] are hypocrites, and yes, that includes Hillary and Donald.
 
Bora nawe umeliona hili, kuna wakati alikuwa kasimama nyuma ya Hillary nikadhani anataka kufanya uhuni wake wa kumgrop Hillary.......πŸ™‚πŸ™‚

Trump avyotembea tembea hapo utadhan bondia anajiandaa kuingia ulingoni
 
Bora nawe umeliona hili, kuna wakati alikuwa kasimama nyuma ya Hillary nikadhani anataka kufanya uhuni wake wa kumgrop Hillary.......πŸ™‚πŸ™‚


Hahaha!, seriously BAK. πŸ˜€πŸ˜€
 
Reactions: BAK
Imebidi swali liulizwe upya....lakini bado jamaa yuko off point
 
Ni hatari sana kwa Marekani kuwa na Rais ambaye ambaye hayuko exposed na International Affairs. Sijui kwanini namuona Trump ni mweupe kwenye mambo mengi hususan International Affairs. Hayo yaishie hukohuko kwetu. Maana Trump haelewi genesis ya Syria wala namna nchi yake inavyoendeshwa kwa miaka nenda rudi. Very sad
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…