2016 US Elections - Exlusive discussion thread

Mbogo aliyejeruhiwa huwa mkali sana. Hujaribu kumshambulia aliyemjeruhi kwa hasira nyingi na nguvu kubwa, bila kujua kwamba kufanya hivyo kunaweza kabisa kumsababishia kujeruhiwa zaidi. The first 20 minutes of this debate are very crucial for both candidates.

I think Hillary ndo ataanza kuulizwa swali.
Huyu Trump better be careful na cheche zake zisije mrudia, na hivi kajeruhiwa, atakuwa mbogo leo.
 

Giuliani ameonya kwamba endapo Trump atachokozwa tena basi atamshambulia sana Hillary Clinton kuhusu ndoa yake na mumewe na ala-link hiyo na serikali ya Marekani na matatizo yalokuwepo wakti ule.

NA BREAKING NEWS:

Kuna wanawake wawili ambao wamejitokeza kutoa ushuhuda kuhusu kudhalilishwa kijinsia na Bill Clinton.
 
Reactions: BAK


Right on. Hii debate kwake is very important. He needs to have a better choice of words.
 
Reactions: BAK
Mmeona lakini.

Trump appeared with Bill Clinton accusers before debate.

It's gonna get ugly tonight.
 


I think wako 5 Richard.
 

Wow..really?

But then again, at this point what does he have to lose?

He might as well just go for broke!

When it comes to using and abusing women Bill Clinton has no room to talk.

He is just as bad as the Donald.
 
Jamani leo km mnavyosema. Patachimbika. Who thought Trump atatokea na hao akina mama .
 
Hmmm! Tonight debate is about p****y excuse my language. Hao wamama wameshachukua ngawira yao mapema.

 
Hmmm! Tonight debate is about p****y excuse my language. Hao wamama wameshachukua ngawira yao mapema.

Mkuu huwezi fahamu, maana tabia ya Bill Clinton huwa siielewi na upole wake ule na anavyozungumza kama mchungaji- simba mwendapole.....
 
Reactions: BAK
Kati ya hao wanawake wanne, wawili ambao ni Paula Jones na Kathy Shelton mmoja wao amesema wazi kwamba Bill Clinton alimbaka na Hillary Clinton akamtishia kutosema kokote!

Hiyo ni hatari!
 
Reactions: BAK
Kati ya hao wanawake wanne, wawili ambao ni Paula Jones na Kathy Shelton mmoja wao amesema wazi kwamba Bill Clinton alimbaka na Hillary Clinton akamtishia kutosema kokote!

Hiyo ni hatari!

Unaona sasa...natamani sana Joe Biden na mtu mwingine tofauti na Trump [preferably Carly Fiorina...what an intelligent lady she is] ndo wangekuwa wanagombea.

But we have two reprobates running....shameful!!
 
Shuhudia media itakavyowavamia hawa mwisho wa debate na kuanza kuwarushia maswali mbali mbali kuhusu wao na Bill.

Kwenye video wako wanne....kakosekana Monica Lewinsky😀.

Hahahaaa....natamani Monica naye awepo ndani ya nyumba leo.

Pure hilarity!
 
Jamani hawa accusers ni wa Bill na anayegombea ni Hilary. Wakulaumiwa ni Bill na sio mgombea. Km mkuu Ngabu alivyosema awali it has nothing to do with Hilary. Mie naona ni mfa maji haachi kutapatapa. Yeye Trump ajibu mapigo yake.
 
Reactions: BAK
Kati ya hao wanawake wanne, wawili ambao ni Paula Jones na Kathy Shelton mmoja wao amesema wazi kwamba Bill Clinton alimbaka na Hillary Clinton akamtishia kutosema kokote!.

Hiyo ni hatari!


We'll see how this plays out for both sides though, I think it's childish of Trump. He's not competing with Bill.
 
Huu uchaguzi umejaa uchafu. Ingekuwa inawezekana wote waondolewe wateuliwe wengine wapya. Sarakasi zimezidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…