2016 US Elections - Exlusive discussion thread

2016 US Elections - Exlusive discussion thread

Nimeona hiyo ya akina Bush na Romney. Sijui kama GOP wataweza kumtosa na kusema huyu si mgombea wa chama chao na hivyo uchaguzi wa 2016 GOP hawana mgombea wa Urais. Ngoja tusubiri tuone maamuzi yao. Halafu kesho walikuwa wawe pamoja na Paul Ryan katika moja ya events za GOP. Sijui kama Ryan atakubali wawe pamoja naye.

Teh! teh, October surprise indeed..lol!

Naona kama wameliwa timing hawa. Halafu huyo mwanamke aliyekuwa anamuongelea hivyo ni mke wa mtu. Haki Trump!

Naona Republicans wamefura, Romney na Bush W. wametoa neno.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Ana Navaro republican kutoka Florida amesema sasa hivi kwamba ni bora tu Trump atangaze kutogombea tena Urais wa Marekani.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Yeah! I know imagine his beautiful daughter Ivanka listening to her father using this kind of language. The wanna be next POTUS!


Gosh!, halafu this's hitting hard on his family, as well as the Republican party.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Yes and his children are adorable and they are very smart.

Gosh!, halafu this's hitting hard on his family, as well as the Republican party.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Nimeona hiyo ya akina Bush na Romney. Sijui kama GOP wataweza kumtosa na kusema huyu si mgombea wa chama chao na hivyo uchaguzi wa 2016 GOP hawana mgombea wa Urais. Ngoja tusubiri tuone maamuzi yao. Halafu kesho walikuwa wawe pamoja na Paul Ryan katika moja ya events za GOP. Sijui kama Ryan atakubali wawe pamoja naye.


Shughuli si ndogo, Ryan itabidi abebe mzigo wa lawama, kama sio kuingia mitini.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ana Navaro republican kutoka Florida amesema sasa hivi kwamba ni bora tu Trump atangaze kutogombea tena Urais wa Marekani.


Lawdy, I doubt he'll step down. I don't think they can make him either..
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nimeona hiyo ya akina Bush na Romney. Sijui kama GOP wataweza kumtosa na kusema huyu si mgombea wa chama chao na hivyo uchaguzi wa 2016 GOP hawana mgombea wa Urais. Ngoja tusubiri tuone maamuzi yao. Halafu kesho walikuwa wawe pamoja na Paul Ryan katika moja ya events za GOP. Sijui kama Ryan atakubali wawe pamoja naye.


Just in...Speaker Ryan just cancelled his event with Trump tomorrow in Wisconsin...Kimenuka!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
The GOP will live to regret this lost opportunity.

Hillary is so beatable. She will be a one term president.

Matter of fact, she will just be president by default.

And speaking of Trump...he is worse than the scum of the earth.

Anybody who voted for him needs to do some serious soul searching between now and 2020.

I feel for his kids. I know I'd be utterly embarrassed if one of my parents behaved the way this scum does.

They might as well just go ahead and scratch the remaining presidential debates.
 
Hata mimi nilidhani ni jina tu. Shughuli ni ya Paul Ryan ambaye ndiye ametamka kwamba Trump hatakuwepo sasa mwenye shughuli yake anakwambia kiutu uzima sitaki uje kwenye shughuli yangu inakuwaje tena wewe mualikwa uifute hiyo shughuli!? Makubwa haya. Naona bado wako kwenye mjadala mzito sana na wapambe wake pale Trump Tower New York kama atokee hadharani kuja kuomba samahani au apotezee tu.

Hivi Billy Bush kumbe ni cousin yao, I thought it was just a common name.

By the way, Trump nae ame cancel event ya kesho, Pence kumuwakilisha.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Hata mimi nilidhani ni jina tu. Shughuli ni ya Paul Ryan ambaye ndiye ametamka kwamba Trump hatakuwepo sasa mwenye shughuli yake anakwambia kiutu uzima sitaki uje kwenye shughuli yangu inakuwaje tena wewe mualikwa uifute hiyo shughuli!? Makubwa haya. Naona bado wako kwenye mjadala mzito sana na wapambe wake pale Trump Tower New York kama atokee hadharani kuja kuomba samahani au apotezee tu.


Kupotezea noma, haitakuwa ustaarab. He has to come out with this somehow.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ameshaongea ujue kuhusu hii tape na akamalizia, "I apologize if anyone is offended."

Kupotezea noma, haitakuwa ustaarab. He has to come out with this somehow.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Ameshaongea ujue kuhusu hii tape na akamalizia, "I apologize if anyone is offended."


' "If" anyone is offended'...is it a matter of If!, asee.

The Hillary campaign should start measuring the drapes in the oval office.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
lol! The next POTUS Hillary Rodham Clinton.

' "If" anyone is offended'...is it a matter of If!, asee.

The Hillary campaign should start measuring for drapes in the oval office.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Trump anajimaliza mwenyewe. Pamoja na kauli nyingi zenye utata amefanya vizuri kwenye polls. Lakini mara hii sidhani...
 
Trump anajimaliza mwenyewe. Pamoja na kauli nyingi zenye utata amefanya vizuri kwenye polls. Lakini mara hii sidhani...
Kuna watu wanaamini tokea mwanzo alikuwa ni pandikizi la Hillary ili bi mkubwa awe na mteremko.

We mwenyewe hebu jiulize tu...mgombea gani wa urais tena wa taifa bora zaidi na la muhimu zaidi duniani ana behave namna ile?

Mtu anakejeli walemavu...anashinda kwenye social media hadi usiku wa manane...anakashifu kila mtu hadi marais wa zamani wa chama chake....

Huyo ni mtu aliye serious kweli? Ni mtu anayetaka kuchaguliwa kuongoza Marekani kweli?

Binafsi siamini kama ni pandikizi. Huwa siko mtu wa conspiracy theories.

Lakini tabia za Trump kwa kweli zinashangaza.

Na mimi tokea hata kabla hajatangaza kugombea nilishasema kuwa jamaa hayuko serious kabisa.
 
Back
Top Bottom