Azathioprine
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 588
- 379
Hahahaha..
Achana na selfie mkuu.
Achana na selfie mkuu.
Mkuu vipi huko kwenye ndoa, kuna madhara yoyote umeyanotice kutokana na nyeto?Ha ha ha punyeto ni raha kinoma niliacha miaka mitatu kabla sijaoa.
Heee aisee jamii forum kiboko ,yaani wewe ni kirusi cha ukimwi ??Nyoso hongera kwa kuacha selfie , watu kama nyie nawatafuteni kweli maana siku hizi mnanikwepa kweli , lazima mwaka huu nikupate labda utumie kondom
Halafu kwanini ukipiga punyeto nafsi inakusuta sana? Unajihisi ni mkosefu kama nini sijui
Nimejitafakari sana na kuona nahitaji mabadiliko.
Nilianza punyeto mwaka 2005 na mwaka huu mwezi wa nane nilikuwa nafikisha anniversary ya miaka 10 (decade) ya upigaji punyeto.
Nimekuwa nikisikia punyeto ina madhara, namshukuru Mungu sijapata hayo madhara maana jogoo wangu yupo imara na kina dada ninawapa dozi stahiki. Kama madhara basi ni kuchelewa kupiga bao kwakuwa nimezoea mkono mgumu lakini mbunye ni laini japo kwangu sioni kama ni madhara kwani imenifanya niwe namfikisha mpenzi wangu.
Baada ya hiyo miaka kumi (decade) ya Punyeto hivi sasa nasema bye bye Punyeto, hatutaonana tena. 2016 ni mwaka wa kuacha punyeto na 2017 ni mwaka wa kuoa.
Utawala huu wa Magufuli huko ofisini kwa moto hata hamu ya kupiga punyeto sina tena.
Mungu ni mwema
Chama lipo vizuri Mkuu nobel prize nje nje.Mkuu,kumbe hiki chama kiko dunia nzima???naona kuna CHAPUDU😕
Ha ha ha haNawaacha na box la sabuni