2016 ni mwaka wa kuacha Punyeto

2016 ni mwaka wa kuacha Punyeto

Punyeto kuacha inataka moyo wa bati si kitu rahis kama unavyofikiri ni kitu cha KUTAFAKARI na KUJIPIMA kisha Ufanye MAAMUZI tena MAKINI. Pia Madhara lazima yakupate miaka 10 (sawa na UTAWALA wa VASCO DA GAMA?) lazima u.boo ulegee kama PAJAMA!!!
 
Jamani na mie nasema nyeto sinyetuki tena mwrnyezi mungu nisaidie ili niungane na bwana nyoso!!!
 
Ila unatakiwa ukae mbali na sabuni maana kila utakapo iona sabuni utakua una dindi..sha
 
Puchu noma.kuna kipindi nikawa naacha laptop kazin na nikauza smart phone ili tu nisiingie kwenye porn.Nalala na bible chin ya mto.ntaacha kwa mwezi lakin nitaanza upyaaa.halafu nafeel guilty kupita maelezo.
 
Hata mi najua hii kitu huwezi kuiacha kirahisi,zaid utaipumzka tu
Ni kwa sababu hatia inakufanya uendelee, hapo dawa si kujiwekea malengo, bali toba kwa MUNGU kwanza kwa sababu hiyo itakufanya ujisikie kiumbe kipya na upate nguvu ya kurudia ujinga, ila usipojisikia umekuwa mpya, hata upange nn, wewe bado ni yuleyule tu, hakika hakutakuwa na kizuizi wewe kurudia ujinga wako!
 
Aisee... mpaka muda huu bado sijapiga, hapa najizuia balaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom