2015 yako ilikuaje,lets share,2016 umejipangaje

2015 yako ilikuaje,lets share,2016 umejipangaje

mwaka huu yani naona unachelewa tu kuisha, majanga juu ya majanga, sikutegemea kama ningeweza hata kucheka tena. all in all Mungu wetu ni wa neema. nasubiri 2016 inshallah naamini utakuwa wa kufuta yote yaliyonitoa furaha mwaka huu.

Pole keep having Faith and God will see you Through, Amen. Thanks..
 
Namshukuru Mungu tu kwa uhai wake ndani yangu, actually mambo hayakua pooooa sana but naamini mwaka ujao ni mwaka wangu wakustareheshwa na Bwana


Amen.. With Your Faith receive your heart desire in Jesus name Amen.. Thanks ..
 
Mimi asilimia kubwa ya mambo yangu nilishakamiishaga miaka ya nyuma... sina kipya...
 
Asante Sn, Nimepanga Tarehe Ingawa Bibi Harus Bado Hajapatkana. Lakini Mungu Ni Mwema.

Amen.. By Faith she is already available , just keep believe, claim it and receive your wife in Jesus name Amen. Thanks..
 
Mimi namshukuru Mwenyenzi Mungu kwa mwaka 2015. Ukweli ni kuwa ulikuwa mwaka bora kabisa kwangu. Changamoto nilizopitia zitakuwa fursa kwa mwaka 2016.

Katika yote namtukuza Yesu Kristo. Amen

Amen.. Mungu akutie nguvu in Jesus name Amen.. Thanks.
 
Me ulikuwa mgumu totally kwangu,na siupendi mpaka basi.Siasa,mapenzi,maisha,kazini daaa ni misukosuko. kichwa kinauma.

Pole dear.. May the Lord Grant you a Peace in Jesus name Amen.. Take it easy and soon you shall see breakthroughs Amen.. Thanks..
 
Mwaka huu ulikuwa mzuri kwangu almost 90percnt ya malengo yangu yametimia namshukuru Mungu ingawa niliyempenda kaniharibia mwaka kaniacha katika mazingira tatanish full stress namwomba Mungu anipe ubavu wangu mwakan

Amen..Thanks..
 
Namshkuru Mungu mwaka umeenda vizuri ingawa kulikua na up`s n down`s kidogo but all is well kwa kweli Mungu anajaalia.....am praying Mwaka 2016 uwe wa heri na baraka kwa kweli...

Amen.. It shall be well..Thanks.
 
Honestly I have so many things to Thank my God , because if it wasn't The Lord who saved me through all those years I probably would be dead by now , but through His Mercies , Graces, Love, Compassion, and Care I'm here today loveissweet , I just want to say Thank you Ooh Lord and I love you so much Jesus.. Umeniponya na mengi Baba, umenipenda more than I could ever imagine .. Kiukweli sijawahi kuona the True love like your love Jesus, so Thank you Papa Jehovah.. Even though I'm still in this race but I'm not gonna quit because you are with me.. The annoint that You poured upon me is overwhelming and no body can't take it away except you Lord. I want to say that I love you Ooh Lord and I want more of you.. Just know that I will never stop loving you Jesus , even if all my needs won't be fulfil I still love you. I love you who you are Lord as my God and you are the only one I want .. So I Thank you for this year of 2015 and I do thank you in advance for the year of 2016 . Amen.. Thanks..
 
Dah namshukuru mungu sana kwa kila jambo 2014 niliingia vizuri 2015 hapa ndipo ulipotokea uzulumaji wa haki yangu ,umesababisha sifurahii kabisa uwepo wa marafiki ,nlijishusha ila kwa sasa hiv nimeanza kupanda tena mungu niwezeshe nifike 2016 nitimize malengo yangu ....... Mungu ni mwema na mungu anamakudio yake xo , hatuna budi kumshukuru

Marry x-mass and happen New year2016
 
Binafsi Mungu amesimama sana katika maisha yang japo nimekuwa siendi ibadani na nimekuwa mzinzi kwa kiasi fran ila next week nataka nirud nyumba ya ibaada nikatubu na ikiwezekana mwez wa kwanza nitaoa ili kujiepusha na hili dudu uzinzi na pia kwa hiki kidogo nimachokipata nimepanga kudomesha mtoto yatima hata mmoja from primary to university eeh mwenyezi Mungu nisaidie na nisamehe kwa mabaya yote nilokutenda. Amen
 
Binafsi huwa siweki resolutions zozote ila mwisho wa mwaka huwa najifanyia personal.assessment kwa nliyofanikiwa....ila 2016 nina lengo moja tu la kuwa mchamungu, nifanye ibada kwa ukamilifu, niache dhambi zote...allah huma amiin
 
mwaka nimegonga sana mademu peku aiseee mpaka naogopa hapa nasikilizia mambo yatakuaje
 
Binafsi huwa siweki resolutions zozote ila mwisho wa mwaka huwa najifanyia personal.assessment kwa nliyofanikiwa....ila 2016 nina lengo moja tu la kuwa mchamungu, nifanye ibada kwa ukamilifu, niache dhambi zote...allah huma amiin
Mwaka huu Namshukuru Mungu kwani nimepiga box mpaka limeniogopa, likiniona tu linatetemeka!. Mwakani, lazima nikutane na mwana JF mmoja humu, halafu niwe golden member humu!. Can you hear me now?. Invisible!.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom