2015 yako ilikuaje,lets share,2016 umejipangaje

2015 yako ilikuaje,lets share,2016 umejipangaje

Lengo kuu kwangu mwaka huu ulikuwa ni kuoa....nashukuru Mungu nmetimiza nmefunga ndoa..

next year,, nna malengo mkuu mawili.
1: Kuanzisha mradi/biashara kwa ajili ya familia yangu
2: kununua kiwanja na kuanza ujenzi mdogomdogo..

Kwake yeye kila jambo linawezekana....Mungu Mkuu


Kweli tunatofautiana....

2014 niliweka lengo la ku establish business...DONE
2015 niliweka lengo kujenga......95% DONE
2016 lengo langu ni kuoa........HII NI CHANGAMOTO KUBWA KULIKO ZOTE NILIZOPITIA!
 
Mwaka bado haujaisha ila kama ukiisha nampango wa kuvuta jiko mwakani
 
Mwaka si mbaya sana, kwa upande wangu ulinikalia vibaya sana maana kila nilichojaribu niliporomoka!! Ila mwaka umekuwa mzuri sana kwa mke wangu, yeye mafanikio tele so nasafiria nyota yake mwaka huu!!

Naamini mwaka ujao utakuwa wangu sasa
 
Mwaka kwangu ulikuwa burudani sana......nimefanya mengi yenye faida kwangu........nimeholideika.......tatizo moja lililoniboa ni kuibiwa mfuniko wa tairi la Vanguard........hili swala hata shosti wangu BADILI TABIA lilimkwaza.........hope tutalipata kabla mwaka haujaisha........
 
Last edited by a moderator:
Nashkuru sana nimefanikiwa kuowa ndani ya mwaka huu .hii ilikuwa ndoto yangu ya mda mrefu sana.ingawa nilisita sana kuowa sababu kuu ilikuwa ni kuogopa kupima afya yangu hakika niliteseka sana .ila mwaka huu nilijiamuliwa kupima na nilipotoka salama nikaamua kuoa haraka sana.next year ni kuendeleza maisha mengine bila ya kuruka mitaro tena😀:thumbup:
 
mwaka huu yani naona unachelewa tu kuisha, majanga juu ya majanga, sikutegemea kama ningeweza hata kucheka tena. all in all Mungu wetu ni wa neema. nasubiri 2016 inshallah naamini utakuwa wa kufuta yote yaliyonitoa furaha mwaka huu.
 
Japo NA changamoto zake nyingi, malengo yanatimia kuoa mke wanne....
 
Mwaka si mbaya sana, kwa upande wangu ulinikalia vibaya sana maana kila nilichojaribu niliporomoka!! Ila mwaka umekuwa mzuri sana kwa mke wangu, yeye mafanikio tele so nasafiria nyota yake mwaka huu!!

Naamini mwaka ujao utakuwa wangu sasa

Haa haa hongera mkuuu, raha ya kuoa ndio hiyo. Her successs...is yours
 
Namshukuru Mungu tu kwa uhai wake ndani yangu, actually mambo hayakua pooooa sana but naamini mwaka ujao ni mwaka wangu wakustareheshwa na Bwana
 
2015: Discovered and joined these streets. Finished school. Started working. Fell in love. Learned a lot.

2016: Grow up. Breeze off these.
 
ktk mwaka 2015, ninamshukuru Mungu Nimeweza Kuwahubiria Watu Wengi Hasa Kupitia Mitandio Jf Na Fb.

2016 Mchungaji Ndio Natarajia Kufunga Ndoa Hapo Tarehe 20 August, Ktk Ukumbi Wa Center K2. Karibuni Sana. Mungu Awabariki Kwa Jina La Yesu Kristo.Amen
 
Lengo kuu kwangu mwaka huu ulikuwa ni kuoa....nashukuru Mungu nmetimiza nmefunga ndoa..

next year,, nna malengo mkuu mawili.
1: Kuanzisha mradi/biashara kwa ajili ya familia yangu
2: kununua kiwanja na kuanza ujenzi mdogomdogo..

Kwake yeye kila jambo linawezekana....Mungu Mkuu

Zidi kutiwa nguvu za kusonga mbele kaka
 
ktk mwaka 2015, ninamshukuru Mungu Nimeweza Kuwahubiria Watu Wengi Hasa Kupitia Mitandio Jf Na Fb.

2016 Mchungaji Ndio Natarajia Kufunga Ndoa Hapo Tarehe 20 August, Ktk Ukumbi Wa Center K2. Karibuni Sana. Mungu Awabariki Kwa Jina La Yesu Kristo.Amen

Kila la kheri kaka Illovo. Naipenda kazi yako ya kutukumbusha, kamwe usichoke wala kukata tamaa katika kazi yako.

Kila la kheri katika ndoa yako. Ubarikiwe upate mke mwema.
 
Last edited by a moderator:
Kila la kheri kaka Illovo. Naipenda kazi yako ya kutukumbusha, kamwe usichoke wala kukata tamaa katika kazi yako.

Kila la kheri katika ndoa yako. Ubarikiwe upate mke mwema.



Asante Sn, Nimepanga Tarehe Ingawa Bibi Harus Bado Hajapatkana. Lakini Mungu Ni Mwema.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom