2015 yako ilikuaje,lets share,2016 umejipangaje

2015 yako ilikuaje,lets share,2016 umejipangaje

2015 some shit happened 2016 hope everthng gona be OK. I believe.
 
Mimi namushukuru mwenyezi MUNGU kwa UZIMA na WEMA anaondelea kunitendea kwa kweli.Pumzi,Uzima nilionao ni ishara tosha kuwa mwaka 2015 unaendelea kuwa poa sana tu japo vikwazo na changamoto za kimaisha zipo nyingi sana.Kwa NEEMA na REHEMA za mwenyezi MUNGU nitaendelea kuzishinda kwa siku chache hizi zilizobaki kuumaliza huu mwaka.WELCOME 2016.AMEN.
 
Mwaka ulianza vizur sana kwangu. lkn mnamo mwez oct nimejikuta katika maden makubwa saaaaana. kiukweli mwaka umenigeuka kabisa.
 
Mahusiano ndo yana mushkeli kwa wengi, ila hili ni tatizo la dunia

Umeacha kuchepuka kaka? Hebu mwaka 2016 uache.

Sasa ukitutisha hivyo sisi tutakuwa wachumba wa kudumu....
 
Ninamshukuru sana Allah hakika nimebarikiwa more than 10 times expected.........ila nimechepuka so sad & sorry
 
Mimi asilimia kubwa ya mambo yangu nilishakamiishaga miaka ya nyuma... sina kipya...
Hii kali! kwa hiyo unasubiri tu kifo sasa! Tafsiri ya "mambo" na "malengo" inaelekea ni pana sana.
 
Mimi namshukuru Mungu kwa NEEMA yake ambayo imenipa amani maana haya malengo ya kimwili yasipotimia unaweza kuwehuka bure. Sasa hivi naya-carry forward kiroho safi tu yakitimia nashukuru, yasipotimia nashukuru, nasonga mbele.
 
Mimi namshukuru Mungu kwa NEEMA yake ambayo imenipa amani maana haya malengo ya kimwili yasipotimia unaweza kuwehuka bure. Sasa hivi naya-carry forward kiroho safi tu yakitimia nashukuru, yasipotimia nashukuru, nasonga mbele.

Ndio yapi hayo?
 
Mie namtukuza sana Mungu kwa mwaka huu. mipango yangu yote imeenda sawa.

kuna tofauti ndogo ndogo kwenye eneo lile linalo run dunia ila nazidi kumshukuru Mungu kwani kila kitu kinachotokea kwangu kina kusudi ndani ya maisha yangu.

Naona mwaka 2016 ukiwa na mafanikio makubwa kwangu.
 
WEWE NDO KAMA MM YAANI ILA MM NDO IMESZIDI KWA MWAKA HUU

KWANGU SIKUTEGEMEA KUWA TAREHE 14 DEC NINGEMPOTEZA RAFIKI BESTITO KIPENZI Dotto Mnzava YAANI IMENIUMA SANA SIJUI ITAONDOKAJE KICHWANI MWANGU
Mwaka huu ulikaa kushoto
sikutegemea a lot...
naona mwakani nitamaliza unfinished business
 
Last edited by a moderator:
Mwaka mbaya sana kwangu malengo yangu yote nimetimia asilimia 10 tu, Nacho shukuru ni uzima aise Asante sana MUNGU BABA ,2016 nainza kwa hasira sana hope MUNGU atanisimia In Shaa Allah
 
hiyo ya ghafla mie si nitakuwa wifi nakuja kupika jamani?

usinitenge bhana

Mie namtukuza sana Mungu kwa mwaka huu. mipango yangu yote imeenda sawa.

kuna tofauti ndogo ndogo kwenye eneo lile linalo run dunia ila nazidi kumshukuru Mungu kwani kila kitu kinachotokea kwangu kina kusudi ndani ya maisha yangu.

Naona mwaka 2016 ukiwa na mafanikio makubwa kwangu.

Mungu awe mwema kwako my dada kipenzi...
 
Mungu awe mwema kwako my dada kipenzi...

Amekuwa mwema sana hadi najishangaa.

we will celebrate the good things HE has done to me shortly.

usimwambie mtu uje mwenyewe.

hahahahahahaha
 
Back
Top Bottom